Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,438
- 3,333
Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya Machozi kuwatawanya Waendesha bodaboda na bajaji wanaofanya shughli zao Posta mpya karibu na jengo la Benjamin Mkapa Tower baada ga uongozi kuwataka kuondoka katika maeneo hayo kwa madao kuwa hawaruhusiwi hiki waendesha bodaboda na bajaji wakipinga hatua hiyo