Kweli, kuna watu wanatoa laana na hakika zinapiga mulemule.Mnajua kulaani Wallah
Nimewaogopa
Usije jaribu mpeleka mwanao au hata kumruhusu aingie Umiss, Bongo Movie na Bongo fleva sijui mamiziki gani yale. Ukifanya hivyo umemuuza.Amina mtu wa Mungu!uliona mbali!
Ndio amekamatwa na makonda, ni mmoja wa watumiz wa ngada, ametoka CCM kaenda ChademaSitashangaa kusikia anatumia unga!
mkuu uliona mbalikama amefikia hatua ya kutukana hawa watu kwa maamuzi yao, dawa ni kuacha hili kama lilivyo. si kitambo sana malipo yake yataonekana.
Ukipeleka mtoto wako kwenye "U miss" umeshampoteza tayari. Wachache sana wanaponaga huu ugonjwa!
Sasa hao si ni baba na babu zake? Hata kama wangekuwa wadogo zake matusi ya nini?
Sitashangaa kusikia anatumia unga!
big up uliona mbali sana
SASA POST WEWE KAJAMBANANI UONE UTAKAVYOSHUGHULIKIWA NA TUTAISOMA NAMBA