Haionekani, tupeni link
sheria ipo kwa wote wema hapa amekosa nidhamu sisi kama jamii hutuwezi kukaa kimya huyu mtu mmoja asiye na nidhamu aharibu kizazi chetu ,mamlaka husika ichukue mkondo wake tukianza na cyber crime act ianze kazi sasa ,endapo hali hii itaachwa hivi tafsiri yake pana ni kuwa ni ruhusa kwa watoto kutukana wazee katika jamii inayokuzunguka bila kujali mazingira uliopo .nawakilishaUkipeleka mtoto wako kwenye "U miss" umeshampoteza tayari. Wachache sana wanaponaga huu ugonjwa!
Sasa hao si ni baba na babu zake? Hata kama wangekuwa wadogo zake matusi ya nini?
Sitashangaa kusikia anatumia unga!