NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Prof Ndulu, alisema kuanzia januari mosi, tutaanza kutumia fedha mpya zenye ubora wa hali ya juu, na ukubwa size ya dola ya USA. ila katika hali ya kushangaza hakuna benki hata 1 iliyopokea fedha kutoka BOT kwa ajili ya kuziingiza kwenye mzunguko.
Kama BOT walikuwa hawajajiandaa kwa nini walitoa matangazo??
Kama BOT walikuwa hawajajiandaa kwa nini walitoa matangazo??