Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Polisi wetu wameamua kusimamia uhusiano mbaya kati yao na raia, na kwa kuthibitisha hilo wameendelea kuwapiga raia na kuwaumiza hata kuwaua.
Haya yametokea kona nyingi za nchi yetu, na week hii niliitwa babati kusimamia uchunguzi wa mtu aliyekufa akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumkamata kwa tuhuma za uvamizi wa shamba la watu wanaomiliki aridhi ya watanzania.
Hivyo iliwalazimu ndugu za marehemu kuzuia mwili kuzikwa hadi uchunguzi wa kitaalamu utakapothibisha sababu ya kifo cha ndugu yao, niliombwa nika wasidie kusimamia kazi hiyo ilyofanywa na dr kutoka wizara ya afya na usitawi wa jamii.
Katika tukio hili nilikutana na Dr Makatta yuleyule niliyekutana naye kule Tarime kwenye uchunguzi wa marehemu waliouwawa nyamongo..
Uchunguzi ulifanyika na ulianza saa sitta na nusu hadi saa nane na dakika 45, maelezo yote yako mikononi mwa wahusika...mwanasheria wa familia na familia yenyewe.
Mungu waone hawa Binadamu uliowaumba kwa udongo, wenye hukumu ya asili ya kurudi kwa udongo, waone wanawahukumu raia wenye miili ya udongo kama yao, ee Mungu watazame kwa jicho upendalo.
Haya yametokea kona nyingi za nchi yetu, na week hii niliitwa babati kusimamia uchunguzi wa mtu aliyekufa akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumkamata kwa tuhuma za uvamizi wa shamba la watu wanaomiliki aridhi ya watanzania.
Hivyo iliwalazimu ndugu za marehemu kuzuia mwili kuzikwa hadi uchunguzi wa kitaalamu utakapothibisha sababu ya kifo cha ndugu yao, niliombwa nika wasidie kusimamia kazi hiyo ilyofanywa na dr kutoka wizara ya afya na usitawi wa jamii.
Katika tukio hili nilikutana na Dr Makatta yuleyule niliyekutana naye kule Tarime kwenye uchunguzi wa marehemu waliouwawa nyamongo..
Uchunguzi ulifanyika na ulianza saa sitta na nusu hadi saa nane na dakika 45, maelezo yote yako mikononi mwa wahusika...mwanasheria wa familia na familia yenyewe.
Mungu waone hawa Binadamu uliowaumba kwa udongo, wenye hukumu ya asili ya kurudi kwa udongo, waone wanawahukumu raia wenye miili ya udongo kama yao, ee Mungu watazame kwa jicho upendalo.