Post mortem results are gradually revealing the pathophysiology of covid 19 diseases

Asee!Watu wanafanya postmortem siyo kuzika tu.

Sasa nashawishika na wale waliosema limao inaweza kuwa nzuri kupunguza madhara ya free iron ion.

Kwa article hii,ni mwanzo mzuri wa kufanyia utafiti baadhi ya vitu vingine kama vitunguu saumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii article imenifurahisha sana naona mwelekeo wa tiba ya huu ugonjwa na it is possible kutumia hizi natural herbs ulizozitaja walau kupunguza makali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia kesho madaktari wa bongo wataibuka kama wachambuzi wa soka la bongo ambapo kila mtu anajifanya anajua wakati hata danadana hajui kupiga. Wataelezea matokeo ya utafiti huu huko BBC swahili, DW, nk wakati wao mgojwa amekufa badala ya kumfanyia PM kwa faida ya waliobaki wamemuwaisha kumzika
 
We are supposed to be genetically engineered human..free from HIV,Ebola and Influenza.

Kwa kesi ya Covid:
Covid19 kama ndivyo inafanya basi protein na RNA za Covid zinapaswa kupewa instruction ya kuepuka kukamata Iron(Chuma) katika chembe nyekundu.
Kinachopaswa ni kitengeneza set of instruction..
bahati mbaya sikibahatika..Microbiology and Genetics ndio habari
 
Ivi broo unajua hata kanuni za kufanya postmortem kweli au unaongea tu, kuna sheria pamoja na ethics haukimbilii kufanya tu kama maveternary.
Kuanzia kesho madaktari wa bongo wataibuka kama wachambuzi wa soka la bongo ambapo kila mtu anajifanya anajua wakati hata danadana hajui kupiga. Wataelezea matokeo ya utafiti huu huko BBC swahili, DW, nk wakati wao mgojwa amekufa badala ya kumfanyia PM kwa faida ya waliobaki wamemuwaisha kumzika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha, hapana mkuu, mbona mimi nimesoma hizo hizo tu mkuu, inategemea na uelewa wa ntu na ntu.
Kama asili yako ni huko lazima utakuwa umepitia majeshi mangi ya elimu na uelewa wa vitu vingi ama umeenda huko sii kwa ukilaza wa kukumbia hesabu na wajomnba zake PYSICS, CHEM, NA BIOS bali ulipasua vizuri lakini ukaenda huko kwa ajili ya hobby ama umemuelewa kwa msaada wa ILOVE YOU wa vijana wa siku hizi hasa vyuoni aitwaye GOOGLE
 
tumeshindwa uzazi wa mpango ndo tuweze kuengineer hizo embryo mkuu.
We are supposed to be genetically engineered human..free from HIV,Ebola and Influenza.

Kwa kesi ya Covid:
Covid19 kama ndivyo inafanya basi protein na RNA za Covid zinapaswa kupewa instruction ya kuepuka kukamata Iron(Chuma) katika chembe nyekundu.
Kinachopaswa ni kitengeneza set of instruction..
bahati mbaya sikibahatika..Microbiology and Genetics ndio habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We are supposed to be genetically engineered human..free from HIV,Ebola and Influenza.

Kwa kesi ya Covid:
Covid19 kama ndivyo inafanya basi protein na RNA za Covid zinapaswa kupewa instruction ya kuepuka kukamata Iron(Chuma) katika chembe nyekundu.
Kinachopaswa ni kitengeneza set of instruction..
bahati mbaya sikibahatika..Microbiology and Genetics ndio habari
Atengenezwe messenger RNA wa bandia na kupewa kazi maalumu
 
nyingine hio hapo wakuu ipitieni

Karachi: Pakistani scientists' achieve a significant breakthrough in the fight against Covid19, Dow



University's research team has prepared intravenous immunoglobulin (IVIG) with plasmaobtained from recovered patients of Corona virus through which COVID-19 victims can be
treated.
Vice Chancellor Prof. Dr. Mohammed Saeed Quraishy called it a very important breakthrough in the war against Covid19.
This way of Treatment is a safe, low risk and highly effective against Coronavirus. Through this
method, Immunoglobulin is prepared after separation of antibodies found in the blood of a
recovered patient from the corona. This method is considerably different from plasma therapy
and it should be noted that the treatment by hyper immunoglobulin (H-IVIG) is approved by the
US Federal agency, Food and Drug Administration (FDA), for normal conditions. Plasma therapy,
on the other hand, is only allowed in emergencies due to its side effects. The Dow University
research team led by Dr Shaukat Ali has developed this H-IVIG after days of continuous hard work,
given the crisis situation. The team was able to collect first blood sample in March 2020 and
managed to isolate antibodies chemically, purified it and later concentrated these antibodies
using the ultrafiltration techniques that remove the remaining unwanted materials from the final
product. This is the first global report of isolation, formulation and safety demonstration of
immunoglobulin purified from recovered COVID19 patient and can be a ray of hope in this time
of crisis when the whole nation expects national researchers to come forward and serve the
nation.
The method is also a type of passive immunization but uses purified antibodies rather than the
whole plasma. The treatment is considered safer and more effective than plasma transfusion as
it does not carry the undesired component of blood like plasma proteins, potential bacterial and
viral pathogens. Such purified antibodies are commercially available globally against diseases like tetanus, rabies, Influenza and hepatitis. The same strategy has been effectively used in the time
of other viral epidemics like MERS, SARS and EBOLA.
The team used blood donated by recovered COVID19 patients to purify antibodies, capable to
neutralize corona virus. Laboratory testing and safety trial of the formulated product
(experimental vials) in animals have been successful. The Vice chancellor Professor Mohammed
Saeed Quraishy has assigned task to clinicians at Dow hospital to team up with researchers to
devise a strategy for fulfilling ethical and regulatory requirements for trials.
The lead researcher Dr. Shaukat Ali is principal of Dow College of Biotechnology and other team
members included Dr. Shobha Luxmi, Syed Muneeb uddin, Mir Rashid Ali, Ayesha Ali, Mujtaba
Khan, Fatima Anjum, Dr. Sohaib Tauheed. The team appreciated the guidance and extraordinary
support from the Vice Chancellor and said they are determined to carry their achievements
forward. Their drive to collect further blood donations is continued and in parallel they are
working on scaling-up their production process.
This is a major step towards international efforts for controlling COVID-19 disease mortality.
Already six world renowned multinational companies have joined hand to proceed in the similar
direction to produce IVIG from recovered patients; in this regard Dow University has taken lead
in developing the first local IVIG against the strain causing COVID-19 disease in Pakistan. It has
already been shown earlier that COVID-19 strain prevalent in Pakistan has a few mutations, hence
it is expected that the local IVIG against local virus strain will be very useful and efficacious.
Dow University of Health Sciences, Pakistan has lead the efforts against the novel Corona virus
COVID-19 by first isolating the SARS-COV-2 virus for genome sequencing, then discovering human
genes resisting the/ virus, and now has isolated and purified the antibodies composed of
Immunoglobulin’s fraction of the plasma of the recovered patients.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama asili yako ni huko lazima utakuwa umepitia majeshi mangi ya elimu na uelewa wa vitu vingi ama umeenda huko sii kwa ukilaza wa kukumbia hesabu na wajomnba zake PYSICS, CHEM, NA BIOS bali ulipasua vizuri lakini ukaenda huko kwa ajili ya hobby ama umemuelewa kwa msaada wa ILOVE YOU wa vijana wa siku hizi hasa vyuoni aitwaye GOOGLE
Nilikwenda kwa hobby tu mkuu O level nilichaguliwa PCB kwenda A level. Wakati mwingine naikumbuka ile nafasi.
 
We are supposed to be genetically engineered human..free from HIV,Ebola and Influenza.

Kwa kesi ya Covid:
Covid19 kama ndivyo inafanya basi protein na RNA za Covid zinapaswa kupewa instruction ya kuepuka kukamata Iron(Chuma) katika chembe nyekundu.
Kinachopaswa ni kitengeneza set of instruction..
bahati mbaya sikibahatika..Microbiology and Genetics ndio habari
Kwamaana nyingine huyu covid anaweza kuwa genetically modified
 
Back
Top Bottom