Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Katika Uchaguzi Mkuu 2010 Dr. Slaa na CHADEMA wametoa changamoto na upinzani mkali tofauti sana na miaka ya nyuma. Uchaguzi mwaka huu ulikuwa na msisimko mkubwa sana huku kukiwa na propaganda nyingi sana ambazo hazijawahi kusikika.
Kuna baadhi waliamini kabisa kuwa Dr.Slaa na CHADEMA wangeshinda katika Uchaguzi Mkuu 2010.
Kwa maoni yangu baadhi ya sababu zilizoifanya CHADEMA na Dr. Slaa washindwe ni pamoja na:
1. Kutokuwa na Mtandao mkubwa wa chama na wanachama na hivyo kukosa kuwafikia wapiga kura wa uhakika.
2. Maandalizi duni ya ki-organaizesheni katika kampeni
3. Ukosefu wa rasilimali za kutosha katika kampeni hasa fedha
Je kwa maoni na utafiti wako ni sababu gani zingine zilizofanya Dr.Slaa na CHADEMA wasishinde Uchaguzi Mkuu 2010?
Katika Uchaguzi Mkuu 2010 Dr. Slaa na CHADEMA wametoa changamoto na upinzani mkali tofauti sana na miaka ya nyuma. Uchaguzi mwaka huu ulikuwa na msisimko mkubwa sana huku kukiwa na propaganda nyingi sana ambazo hazijawahi kusikika.
Kuna baadhi waliamini kabisa kuwa Dr.Slaa na CHADEMA wangeshinda katika Uchaguzi Mkuu 2010.
Kwa maoni yangu baadhi ya sababu zilizoifanya CHADEMA na Dr. Slaa washindwe ni pamoja na:
1. Kutokuwa na Mtandao mkubwa wa chama na wanachama na hivyo kukosa kuwafikia wapiga kura wa uhakika.
2. Maandalizi duni ya ki-organaizesheni katika kampeni
3. Ukosefu wa rasilimali za kutosha katika kampeni hasa fedha
Je kwa maoni na utafiti wako ni sababu gani zingine zilizofanya Dr.Slaa na CHADEMA wasishinde Uchaguzi Mkuu 2010?