Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,008
- 54,282
Huyu Ni Kuchapwa Viboko Na Kusukumwa Ndani Akitoka Kazi Hana ๐ถ๐๐๐ถ๐๐Afande unasnitch ee
Posho Unakuja Kuuliza Jamiiforums.com
Huyu Ni Kuchapwa Viboko Na Kusukumwa Ndani Akitoka Kazi Hana ๐ถ๐๐๐ถ๐๐Afande unasnitch ee
Ongeza sautiHali imekuwa ngumu sana, posho hutolewa tarehe 30 ya kila mwezi hata hivyo ilikuwaga tarehe 15 ikabadilishwa ili kuwapa muda wa kufanya kwa ufasaha, sasa leo tarehe 4 hamna posho, kulikoni, kama mfuko umeishiwa tuambiwe basi tujue hamna hela ili tutafute maisha mbadala.
Wewe kuro uliyetolewa malinda na Nyani halali yako ni mshahara, posho ni hisani tu. Anzisha plan B urahisishe maisha. Kwani watumishi wote wa Tanzania wanalipwa posho?Hali imekuwa ngumu sana, posho hutolewa tarehe 30 ya kila mwezi hata hivyo ilikuwaga tarehe 15 ikabadilishwa ili kuwapa muda wa kufanya kwa ufasaha, sasa leo tarehe 4 hamna posho, kulikoni, kama mfuko umeishiwa tuambiwe basi tujue hamna hela ili tutafute maisha mbadala.
Wewe kuro uliyetolewa malinda na Nyani halali yako ni mshahara, posho ni hisani tu. Anzisha plan B urahisishe maisha. Kwani watumishi wote wa Tanzania wanalipwa posho?
Ninavyojua mojawapo wa maadili ya askari ni uvumilivu na usiri. Wewe ni askari gani usiye na maadili!!
Kwanini unasema anamdhalilisha IJP au ni askari wa Jeshi la polis peke yao ndo wanapewa posho tofaut na majesh mengine? Tufungue macho hapo mkuuNaamini wewe ni askari ,mke wa askari au mtu anayemdai askari. Huko kwenye majeshi kuna utamaduni wake. Unadhani humu Jf hakuna askari wenzako?. Kwanini ni wewe tu ndio umeanzisha thread? Unadhani wengine hawawezi kulianzishia thread?.
Hivi unajua kua unamdhalilisha ijp wako kwa mhe rais?.
Anaudhi sana huyo mtoto. Wengi tunajua askari hajisaidii haja ndogo wala kubwa kwa sababu ya staha wanayokuwa nayo wakitaka kujisaidia. Hivyo ukimuona askari anajiasaidia hadharani tena akiwa in uniform lazima ushangae.mkuu,punguzeni matusi
Nitukanie mkuu.Anaudhi sana huyo mtoto. Wengi tunajua askari hajisaidii haja ndogo wala kubwa kwa sababu ya staha wanayokuwa nayo wakitaka kujisaidia. Hivyo ukimuona askari anajiasaidia hadharani tena akiwa in uniform lazima ushangae.
Na huyu kuanika shida zake hapa jukwaani sidhani kani ni maadili mazuri kwa askari. Hivyo inatakiwa atakunwe sana ili asirudie huu ujinga wake.
Posho shs ngap????Hali imekuwa ngumu sana, posho hutolewa tarehe 30 ya kila mwezi hata hivyo ilikuwaga tarehe 15 ikabadilishwa ili kuwapa muda wa kufanya kwa ufasaha, sasa leo tarehe 4 hamna posho, kulikoni, kama mfuko umeishiwa tuambiwe basi tujue hamna hela ili tutafute maisha mbadala.
Kudai haki yako ni kosa?, kwani hizo posho si ni pesa za walipa kodi, kuna ubaya gani raia kuzijua......ndio maana askari wengi hawana akili, sababu ni hiiNaamini wewe ni askari ,mke wa askari au mtu anayemdai askari. Huko kwenye majeshi kuna utamaduni wake. Unadhani humu Jf hakuna askari wenzako?. Kwanini ni wewe tu ndio umeanzisha thread? Unadhani wengine hawawezi kulianzishia thread?.
Hivi unajua kua unamdhalilisha ijp wako kwa mhe rais?.
Kila sehemu anacomment na emoji za kucheka, hata kwenye tanzia anaweka.Now katumia Emoj 4....itatifikia 3,2,1. Kisha ataacha kabisa
Hapa ungeweka emoji ya hasira.....Vipi nikicomment kwa emoji unawashwa au???
Hapa TISS maisha ni bamu bamu ๐๐๐๐Hali imekuwa ngumu sana, posho hutolewa tarehe 30 ya kila mwezi hata hivyo ilikuwaga tarehe 15 ikabadilishwa ili kuwapa muda wa kufanya kwa ufasaha, sasa leo tarehe 4 hamna posho, kulikoni, kama mfuko umeishiwa tuambiwe basi tujue hamna hela ili tutafute maisha mbadala.
Njaa haina uaskari mkuu!Kama wew kweli ni askari,basi hautoshi kuwa askari.
Maadili na njaa wapi na wapi?Wewe kuro uliyetolewa malinda na Nyani halali yako ni mshahara, posho ni hisani tu. Anzisha plan B urahisishe maisha. Kwani watumishi wote wa Tanzania wanalipwa posho?
Ninavyojua mojawapo wa maadili ya askari ni uvumilivu na usiri. Wewe ni askari gani usiye na maadili!!