pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
- Thread starter
- #21
Huu ni mtego mkubwa sana kwa chadema sijui kama watachomoka..
hata kama ni chadema ndio wana tamaa hatutawavumilia na wewe Ruttashobolwa tuungane kupiga kelele kwa hili hata kama hoja italetwa na chadema kupinga hili usionyeshe mahaba kisa tu kaleta hoja mbunge wa chadema, TAIFA Kwanza vyama baadae.
Last edited by a moderator: