Wazo la Zitto ni zuri lakini CCM wameligeuza propaganda. Lakini hata hivyo, Zito amefanikiwa kuibua mjadala wa jinsi serikali inavyopoteza hela nyingi kwenye posho za vikao. Kwa mfano tunaambiwa ukiondoa posho kwa wafanyakazi wote wa serikali unapata bilioni 900. Hizi sio pesa kidogo. Tunaweza kuijenga ile reli ya kwenda Arusha tukasafiri kwa masaa 5!