Jaribu kum-pm georgie-porgie!Wadau naombeni msaada wa mwenye kuwa na hiyo software.ni ujasiriamali wa chakula cha bei rahisi kwenye university moja hapa nchini.serving almost 2000 people a day,sina uelewa mkubwa sana lakini nahisi ni muda muafaka wa kuweka hilo.
hahahaaaaa, kama kawaida!!.Jaribu kum-pm georgie-porgie!
ANGALIZO:it is never free of charge
kagonge senksi kwa kukupaishahahahaaaaa, kama kawaida!!.
nadhani mkuu unajua na unamaanisha ulichoandika!.
tayari, thibitisha:kagonge senksi kwa kukupaisha
The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post:
George_Porjie (Today)
Wadau naombeni msaada wa mwenye kuwa na hiyo software.ni ujasiriamali wa chakula cha bei rahisi kwenye university moja hapa nchini.serving almost 2000 people a day,sina uelewa mkubwa sana lakini nahisi ni muda muafaka wa kuweka hilo.
exactly, the same!.What is POS...? is this different from Point Of Sales..?
What is POS...? is this different from Point Of Sales..?
mwaga mboga mtaalamu!.....exactly, the same!.
POS ni software yoyote ile inayotumika kwenye sehemu ya biashara, iwe mgahawa, bar, supermarket etc.
mfano mzuri wa POS NI PILOT software.
GP tunaomba ufafa-nuzi? in this context
POS = ?
Proof Of Service?
Point Of Service?
Point Of Sale?
twende kazi baba!......................POINT OF SALE.
Point of sale (POS) or checkout is the location where a transaction occurs. A "checkout" refers to a POS terminal or more generally to the hardware and software used for checkouts, the equivalent of an electronic cash register. A POS terminal manages the selling process by a salesperson accessible interface. The same system allows the creation and printing of the voucher.
POINT OF SALE TERMINALStwende kazi baba!......................
mngeenda pm!Mdau hiyo Restaurant plus Pos inauzwa dollar 595, ila nipe bajeti yako nakupatia kesho fastaa
exactly, the same!.
POS ni software yoyote ile inayotumika kwenye sehemu ya biashara, iwe mgahawa, bar, supermarket etc.
mfano mzuri wa POS NI PILOT software.
ngoja nimpigie aje muwasilianena vp nikitaka na hardware ya touch screen wakuu?