Portugal ya Christiano Ronaldo haijakaa sawa

Majighu2015

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
2,924
3,904
Uero uefa 2016 inaendelea na timu mbili zimeshaingia hatua ya robo fainali-Wales na Poland. Portugal tangia mashindano haya yameanza hawajashinda mechi hata moja. Nimeangalia mechi zao naona kama hawajajipanga,wanacheza mpira usio na mvuto. Hawana viungo wa kumlisha Ronaldo. Wakiingia robo fainali itakua ni bahati yao tu lakini baada ya hapo hawaendi popote kwa mpira huu.
 
Hata kwenye mchezo wao na Crotia mpaka dakika 90 hawajapiga hata shoot moja on target, hata kupita kwao kwenye makundi imekuwa ni bahati tu
 
Ndo ubaya huo kwamba timu yenye wachezaj kumi wabovu, ina tarajiwa iwe kali kisa mchezji mmoja excellent

Portugal ya kina figo ndo ilikuwa timu haswaa ila siyo hiii
 
Mkuu wewe Arsenal nini..Mama hilo jina lako linanikimbusha chama langu
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom