MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kocha wa Geita Gold FC ambaye pia ni mwana Yanga SC lia lia (kindakindaki) Fred Felex Kataraiya 'Majeshi' Minziro amepewa Maagizo maalum ya kuhakikisha Wachezaji wake ama wanawaumiza vibaya au wanawatafutia Kadi Nyekundu Wachezaji Bernard Morrison, Jonas Mkude, Meddie Kagere, Larry Bwalya na Shomary Kapombe.
Tafadhali nauomba Uongozi wa Simba SC au Member yoyote wa Jamiiforums ambaye ni mwana Simba SC 'awafowadie' hili Bandiko langu na walizingatie kwa Umakini mkubwa kwani aliyenihakikishia 'Umafia' huu anatokea ndani kabisa mwa Watu wa Yanga SC tena ni Mchezaji Mstaafu mwenye Heshima Kubwa Yanga SC na Tanzania nzima pia.
Msije kusema kuwa sikuwaambieni hili.
Tafadhali nauomba Uongozi wa Simba SC au Member yoyote wa Jamiiforums ambaye ni mwana Simba SC 'awafowadie' hili Bandiko langu na walizingatie kwa Umakini mkubwa kwani aliyenihakikishia 'Umafia' huu anatokea ndani kabisa mwa Watu wa Yanga SC tena ni Mchezaji Mstaafu mwenye Heshima Kubwa Yanga SC na Tanzania nzima pia.
Msije kusema kuwa sikuwaambieni hili.