Jiwe ndiyo chanzo cha uovu wote!Umeshapanic!
Na ndio maana najiuliza sana kwa kuwafikiria watu wa aina yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe ndiyo chanzo cha uovu wote!Umeshapanic!
Na ndio maana najiuliza sana kwa kuwafikiria watu wa aina yako!
Mkuu Mimi si Mkristo lakini nimesikitika sana, Viongozi Africa ni wabinafsi sana, Makatili wasiyojali thamani ya Utu. Hata Tanzania pia ingawa hali si mbaya kama Sudan..Nimejisikia vibaya saana yani nazuia machozi yasitoke. Mtu huyu ni mnyenyekevu kupitiliza.
maua Sama -Mahaba niuwePapa ni rais wa dunia.Anawajibu wa upatanishi popote pale anapoona mambo yanaenda kombo.
View attachment 1070240View attachment 1070241View attachment 1070242
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi si Mkristo lakini nimesikitika sana, Viongozi Africa ni wabinafsi sana, Makatili wasiyojali thamani ya Utu. Hata Tanzania pia ingawa hali si mbaya kama Sudan..
Mkuu Mimi si Mkristo lakini nimesikitika sana, Viongozi Africa ni wabinafsi sana, Makatili wasiyojali thamani ya Utu. Hata Tanzania pia ingawa hali si mbaya kama Sudan..
Unazungumzia kichwa kidogo ama kikubwa?
yeye kama nani?Papa ni rais wa dunia.Anawajibu wa upatanishi popote pale anapoona mambo yanaenda kombo.
View attachment 1070240View attachment 1070241View attachment 1070242
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa macho yako hayo mawili huwezi ona mkuu....dunia inaendeshwa tofauti na unavyoona...na kusikia, yanayotendeka huwezi kuambiwa.Sehemu gani ambazo vatcan imeweka mkono wake kwenye machafuko, tuanzie hapa kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you, you are a definition of a great thinker,Mbona haikemei Marekani kuhusu vita anazopiganisha huko mashariki ya kati (Syria, Yemen etc) na kusababisha maangaiko kwa wanadamu....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri mtu akunyime chakula kuliko kukutawala kifikra.... hahahahaBwana culture gal heri mtu akutawale ninii vile........ nimeipenda hii
Steve bannonNilimsikia jana Steve Bannon akiwaka kuwa Vatican ibadilike lakini sikuelewa, kumbe!