macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,552
Angekuwa anafanya hivyo mara kwa mara isingekuwa ni jambo special. Ugomvi unaondelea Sudan ya kusini ni ubinafsi wa viongozi ndiyo maana anajaribu kutumia njii hii kwani nchi yenyewe ni maskini sana na wanaoangamia ni wananchi.Of coz lkn naona kama vle kajishusha sana kupitiliza. Sijawah kuona kitendo hicho akiwa anawaomba maraisi wengne watunze amani