Nadiriki kusema katika design za barabara nilizowahi kuona, barabara za BRT ndo poorest design ever.
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!
Kweli barabara inawekewa ukuta na bila hata kujali wakazi wa pembeni watahitaji kuvuka au kuingia high way na magari yao!!!!!!!!!!!!! Ni bora hata wangeweka ukuta kwenye barabara zitazotumiwa na mabasi na kutoweka miukuta kwenye public roads.
Eti hawa nao wanajiita wahandisi!!!!!