Hapa hatuzungumzii siasa ni kwa ajili ya mustakabali wa nchi, tuwe na think tanks wa serikali wanaofanya maamuzi sahihi kwa ajili ya nchiKama ni hivyo mkuu akubali kumweka Antipas kwenye jopo hilo
Hapa hatuzungumzii siasa ni kwa ajili ya mustakabali wa nchi, tuwe na think tanks wa serikali wanaofanya maamuzi sahihi kwa ajili ya nchiKama ni hivyo mkuu akubali kumweka Antipas kwenye jopo hilo
Kasomeni MwanaHalisi "Mamvi hasafishiki", Leo ndiye mtakatifu.
Tamko LA Barrick ni kuwa kuna timu ya mazungumzo itaundwa kupata win win situation, sasa kauli ya bwana mkubwa kuwa wamekubali kulipa sijui kaitoa wapi na magazeti yanaibeba tuu
Jibu hoja iliyoko mezani usilete mipasho.Nyie mnaojiita wapinzani wa Rais kuweni basi na akili hata kidogo. Ni aibu sana na sielewi kwa mwenendo huu 2020 mtakuwa wangapi Bungeni. very shame
Tatizo mnapenda kudanganywa. Rais kadanganya tena kadanganya wazi wazi.labda kama hamjui kiingerezaKaandike na wewe Gazet lako useme Acacia wamegoma kulipa. Warundi nyie achen Roho mbaya...!!
Hahahahahahhaah
Lakini Paskali sii kila siku hapa JF mnatuambia uandishi bora ni ule wa kupata habari na upande wa pili? Sasa mbona hawakufanya hivyo wakakubali kulishwa matango pori na Msingwa?Usilaumu bure media, this is the source
Hivyo walichoripoti media ni walichoambiwa na mwenye mali, mmiliki mkuu!.
Paskali
Umelewa ulichokiandika au unataka ziandikwe tu habar ulizo na mahaba nazo, mda mwingine uchungu wako wa nyuma ya keyboard usikufanye ulie sana as if una maanufaa makubwa ktk taifaFikra zako zinapendekeza gazeti linaweza kuandika "rais mstaafu afa ghafla"
Japo ni uongo lakini unaruhusa kutolinunua ili kui avoid habari???
Umezaliwa nje ya ndoa wewe sii bure!!
Wawili hawa kila mmoja wao ana hadhira yake. Raisi ameongea na watanzania na huyo Prof. Ameongea na wanahisa wake. Hajampinga Magufuli wala kumuunga mkono mia kwa mia kapiga diplomasia. Tusubiri mazungumzo lakini ni wazi amekuja yeye na kuna tutakacho pata ingawa sijui ni kiasi gani na kitatokana na kipengele gani. Lugha kali zidi ya Acacia sasa itaisha. Tuwe na team makini.Upotoshaji aliuanza Bw.Gerson Msigwa, kwa kutoa taarifa ya uongo kutoka Ikulu..
Ila ukimsikiliza Thornton Mwenyewe, hakuna sehemu amezungumzia kuwa wamekubali kulipa.
======================================================
Prof Thornton Said:
"I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)
After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today."
=====================================
Nani kusema wamekubali kulipa !? Au Jemedari amewaambia mumpigie debe, ngoma bado mbichi na siyo ajabu Tanzania ikatakiwa kuwalipa fidia.
Watalipa kwa base ipi labda !?
View attachment 524165
Sawa tunakubaliana na wewe Rais kadanganya. Hivi Kati ya ww hata ujumbe wa nyumba kumi hauna na Rais wetu tuliemchagua kwa Kura nyingi tumuamini Nani....!?? Huyo Mzungu mwnyw hakujui hata km upo dunia hii. Kakili kulipa ww na Roho yako mbaya unapinga. Warundi nyie mnawivu kweli kweliTatizo mnapenda kudanganywa. Rais kadanganya tena kadanganya wazi wazi.labda kama hamjui kiingereza
Tatizo mnapenda kudanganywa. Rais kadanganya tena kadanganya wazi wazi.labda kama hamjui kiingereza
KWANI LISSU SIO THINK TANK?Hapa hatuzungumzii siasa ni kwa ajili ya mustakabali wa nchi, tuwe na think tanks wa serikali wanaofanya maamuzi sahihi kwa ajili ya nchi
Huu wimbo huimbwa na wakubwa tu!!Umelewa ulichokiandika au unataka ziandikwe tu habar ulizo na mahaba nazo, mda mwingine uchungu wako wa nyuma ya keyboard usikufanye ulie sana as if una maanufaa makubwa ktk taifa
Akili vipi mkuu ukienda kizembe utalipa tuAaaaaah yaani Sisi ndo Tuwalipe wao kwa Kutuibia Makinikia yetu? Hayo ni Maajabu
Team Osoro mimi simo!!!Wawili hawa kila mmoja wao ana hadhira yake. Raisi ameongea na watanzania na huyo Prof. Ameongea na wanahisa wake. Hajampinga Magufuli wala kumuunga mkono mia kwa mia kapiga diplomasia. Tusubiri mazungumzo lakini ni wazi amekuja yeye na kuna tutakacho pata ingawa sijui ni kiasi gani na kitatokana na kipengele gani. Lugha kali zidi ya Acacia sasa itaisha. Tuwe na team makini.