Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Kwahiyo unatakaje wewe Lichadema? Wewe ni Lichadema tu. Wajinga jinga kama wewe wako Chadema. Mmrogwa na Kingunge Ngombare Mwiru.Hivi sisi ni wa kukimbizana na kontena la mchanga wenye kilo 3 za dhahabu? tena kwa mrahaba wa 4% kweli?
Haiingii akilini rais anaacha kushughulikia dhahabu iliyo tayari (parked) migodini anaunda tume kwa mabilioni ya shilingi kuchunguza kilo 3 kwenye kontena kweli?
Nani katuroga Watanzania, inauma sana.
View attachment 518532