Poor Intelligence system inavyotesa Marais

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Unapochaguliwa kuwa Rais wa nchi ni lazima kwanza uhakikishe kuwa Intelligence ya Taifa unaloliongoza iko imara kuliko chochote.
Yaani hata panya lazima ujue anawaza nini,siyo rahisi kwa Taifa lenye Intelligence imara kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi,labda yawe organized na Taifa kubwa,na hata hapo kila element inayoinuka kinyume chako lazima uifyekelee mbali.
Rais Alpha Konde yalimkuta kwa sababu ya poor Intelligence system,Mr Slim hapendwi kabisa na watu wake ila strong Intelligence system inamwokoa sana yule Bwege.
Ndo maana huwa anawafuata na kuwafyekelea mbali hata nje ya Taifa lake.
Haiwezekani kiongozi una mfumo imara wa Intelligence halafu kamanda wa makomandoo ana organize kikosi na kukufuata Ikulu,na kisha hata waliokuzunguka Ikulu wanashindwa hata kukutorosha kisha unakamatwa kama kuku na kutupwa Lupango.
Hayati Hussein Mubarak hakujua kuwa Chief of army aliutamani sana Urais wake.
Siamanishi madikteta wasitolewe madarakani ,nazungumzia jinsi uimara wa Intelligence ktk Taifa ulivyo na nguvu.
Intelligence huwa haifeli popote,kwa mfano Rais kachokwa kabisa na wananchi ,ni kazi ya Intelligence system kumshauri Rais astaafu kwa amani ili kulinda heshima yake.
Mossad wanalala kwenye sebule ya Ikulu ya Iran ndo maana wanasayansi muhimu wa Nuclear wa Iran waliuawa wote ndani ya ardhi ya Iran na hakuna hata jasusi mmoja wa Mossad ambaye Iran ilifanikiwa kumkamata.
Jasusi la mwisho kufanya mauji Iran lilikuwa jasusi la kike lililoingia Iran Kama mtalii kutoka Australia,hii medani ukiijua vizuri hata mkeo akichepuka lazima ujue hata ajikaushe vp.
North Korea inajivunia Intelligence system imara na si nguvu za kijeshi Kama wanavyodhani wengi.
South Korea kuna maelfu ya majasusi kutoka North Korea walioingia humo Kama Defectors.
Na hutuma Taarifa za siri kila siku kwa mbinu iliyojaa uhodari wa kupindukia.
Mtu wa kwanza na wa mwisho kumlinda Rais huwa ni Rais mwenyewe.
ITAENDELEA
 
sisi hapa kuna TISI halafu kuna sistimu.
yaani unapoona bwana asumani anatoka PITI anakwenda kuwa head TISI,sio bahati mbaya.
hapa sistimu ama coordination inaonyesha ni jinsi gani inafanya kazi kwa mfumo complex sana.

leo hii kaa na makomando wako mpange namna gani mtavamia magogoni mkambebe mkuu,utashangaa kati yao makomandoo 12 ulikusanya 4 wameshatoa ripoti,mnapokelewa na kuhifandhiwa safe house pamoja nao hata msijue mlikosea wapi.

nyerere alijua mengi ambayo binaadamu wengi na viongozi wenzie africa hawakujua.
 
Unapochaguliwa kuwa Rais wa nchi ni lazima kwanza uhakikishe kuwa Intelligence ya Taifa unaloliongoza iko imara kuliko chochote.
Yaani hata panya lazima ujue anawaza nini,siyo rahisi kwa Taifa lenye Intelligence imara kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi,labda yawe organized na Taifa kubwa,na hata hapo kila element inayoinuka kinyume chako lazima uifyekelee mbali.
Rais Alpha Konde yalimkuta kwa sababu ya poor Intelligence system,Mr Slim hapendwi kabisa na watu wake ila strong Intelligence system inamwokoa sana yule Bwege.
Ndo maana huwa anawafuata na kuwafyekelea mbali hata nje ya Taifa lake.
Haiwezekani kiongozi una mfumo imara wa Intelligence halafu kamanda wa makomandoo ana organize kikosi na kukufuata Ikulu,na kisha hata waliokuzunguka Ikulu wanashindwa hata kukutorosha kisha unakamatwa kama kuku na kutupwa Lupango.
Hayati Hussein Mubarak hakujua kuwa Chief of army aliutamani sana Urais wake.
Siamanishi madikteta wasitolewe madarakani ,nazungumzia jinsi uimara wa Intelligence ktk Taifa ulivyo na nguvu.
Intelligence huwa haifeli popote,kwa mfano Rais kachokwa kabisa na wananchi ,ni kazi ya Intelligence system kumshauri Rais astaafu kwa amani ili kulinda heshima yake.
Mossad wanalala kwenye sebule ya Ikulu ya Iran ndo maana wanasayansi muhimu wa Nuclear wa Iran waliuawa wote ndani ya ardhi ya Iran na hakuna hata jasusi mmoja wa Mossad ambaye Iran ilifanikiwa kumkamata.
Jasusi la mwisho kufanya mauji Iran lilikuwa jasusi la kike lililoingia Iran Kama mtalii kutoka Australia,hii medani ukiijua vizuri hata mkeo akichepuka lazima ujue hata ajikaushe vp.
North Korea inajivunia Intelligence system imara na si nguvu za kijeshi Kama wanavyodhani wengi.
South Korea kuna maelfu ya majasusi kutoka North Korea walioingia humo Kama Defectors.
Na hutuma Taarifa za siri kila siku kwa mbinu iliyojaa uhodari wa kupindukia.
Mtu wa kwanza na wa mwisho kumlinda Rais huwa ni Rais mwenyewe.
ITAENDELEA
Let's Vitu kaka. Ila palee kwenye Mr slim😁😁
 
sisi hapa kuna TISI halafu kuna sistimu.
yaani unapoona bwana asumani anatoka PITI anakwenda kuwa head TISI,sio bahati mbaya.
hapa sistimu ama coordination inaonyesha ni jinsi gani inafanya kazi kwa mfumo complex sana.

leo hii kaa na makomando wako mpange namna gani mtavamia magogoni mkambebe mkuu,utashangaa kati yao makomandoo 12 ulikusanya 4 wameshatoa ripoti,mnapokelewa na kuhifandhiwa safe house pamoja nao hata msijue mlikosea wapi.

nyerere alijua mengi ambayo binaadamu wengi na viongozi wenzie africa hawakujua.
Hiyo ndo system imara mkuu ambayo Rais anatakiwa kuwa nayo
 
sisi hapa kuna TISI halafu kuna sistimu.
yaani unapoona bwana asumani anatoka PITI anakwenda kuwa head TISI,sio bahati mbaya.
hapa sistimu ama coordination inaonyesha ni jinsi gani inafanya kazi kwa mfumo complex sana.

leo hii kaa na makomando wako mpange namna gani mtavamia magogoni mkambebe mkuu,utashangaa kati yao makomandoo 12 ulikusanya 4 wameshatoa ripoti,mnapokelewa na kuhifandhiwa safe house pamoja nao hata msijue mlikosea wapi.

nyerere alijua mengi ambayo binaadamu wengi na viongozi wenzie africa hawakujua.
Lakini hao sistimu uliowataja na kuwatukuza wanashindwa kutupa viongozi bora watakaoipeleka nchi mbele. Badala yake wamejaa mafisadi tu.
 
Lakini hao sistimu uliowataja na kuwatukuza wanashindwa kutupa viongozi bora watakaoipeleka nchi mbele. Badala yake wamejaa mafisadi tu.
Kazi ya sistimu sio kuleta viongozi Bora(imara) ila Ni kulinda Viongozi waliopo
 
Unapochaguliwa kuwa Rais wa nchi ni lazima kwanza uhakikishe kuwa Intelligence ya Taifa unaloliongoza iko imara kuliko chochote.
Yaani hata panya lazima ujue anawaza nini,siyo rahisi kwa Taifa lenye Intelligence imara kukumbwa na mapinduzi ya kijeshi,labda yawe organized na Taifa kubwa,na hata hapo kila element inayoinuka kinyume chako lazima uifyekelee mbali.
Rais Alpha Konde yalimkuta kwa sababu ya poor Intelligence system,Mr Slim hapendwi kabisa na watu wake ila strong Intelligence system inamwokoa sana yule Bwege.
Ndo maana huwa anawafuata na kuwafyekelea mbali hata nje ya Taifa lake.
Haiwezekani kiongozi una mfumo imara wa Intelligence halafu kamanda wa makomandoo ana organize kikosi na kukufuata Ikulu,na kisha hata waliokuzunguka Ikulu wanashindwa hata kukutorosha kisha unakamatwa kama kuku na kutupwa Lupango.
Hayati Hussein Mubarak hakujua kuwa Chief of army aliutamani sana Urais wake.
Siamanishi madikteta wasitolewe madarakani ,nazungumzia jinsi uimara wa Intelligence ktk Taifa ulivyo na nguvu.
Intelligence huwa haifeli popote,kwa mfano Rais kachokwa kabisa na wananchi ,ni kazi ya Intelligence system kumshauri Rais astaafu kwa amani ili kulinda heshima yake.
Mossad wanalala kwenye sebule ya Ikulu ya Iran ndo maana wanasayansi muhimu wa Nuclear wa Iran waliuawa wote ndani ya ardhi ya Iran na hakuna hata jasusi mmoja wa Mossad ambaye Iran ilifanikiwa kumkamata.
Jasusi la mwisho kufanya mauji Iran lilikuwa jasusi la kike lililoingia Iran Kama mtalii kutoka Australia,hii medani ukiijua vizuri hata mkeo akichepuka lazima ujue hata ajikaushe vp.
North Korea inajivunia Intelligence system imara na si nguvu za kijeshi Kama wanavyodhani wengi.
South Korea kuna maelfu ya majasusi kutoka North Korea walioingia humo Kama Defectors.
Na hutuma Taarifa za siri kila siku kwa mbinu iliyojaa uhodari wa kupindukia.
Mtu wa kwanza na wa mwisho kumlinda Rais huwa ni Rais mwenyewe.
ITAENDELEA
Ok
 
Lakini hao sistimu uliowataja na kuwatukuza wanashindwa kutupa viongozi bora watakaoipeleka nchi mbele. Badala yake wamejaa mafisadi tu.
Kazi ya sistimu sio kuleta viongozi Bora(imara) ila Ni kulinda Viongozi
Hata kama hawana tija kwa taifa?
Ndio waachwe wamalize Muda wao watoke kidemokrasia Kama walivyo ingia. Sasa Kama hawana Tija kwa Taifa ndo unataka wafanywe Kama Alfa Konde au Yulee Rais wa Sudan Kaskazini..?? Lazima tujifunze hata kwa makosa. Tukikosea kuchagua acha tunyooshwe ili Next time tutulize akili Kwenye Ballots paper😁😁
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom