Hata sikumoja usitegemee mwanadamu kumaliza matatizo yako.Pongezi za nini wakati ni moja kati ya majukumu yake!Nitampongeza akimaliza matatizo yote ya msingi sasa hivi bado mapema sana.Ataota mapembe wakati safari bado ndefu.Kwanza.
Wewe hao wote ni wabunge wako?Kwa kweli katika Taifa ambalo Wabunge hawana Kazi na Wanakula hela za bure ni wabunge wa Tanzania.Kwa kweli sisi ni vilaza hivi mtu kama Msukuma,Milinga,Lusinde anamuchagua awe mwakilishi yani ni dhambi hata Mungu mwenyewe anatucheka
Ukitafuta waliotufikisha hapa kwa majina utakuwa unapoteza muda bure.....maana ccm wanashirikiana kupitisha uchafu wote tena kwa kuitwa na kupigwa beat na mwenyekiti kwa mtu atakayepinga miswada bungeni. Hii mimbwa ikiishaitwa na mwenyekiti kazi inayobaki nimiwachokoza wapinzani wenye akili nyingi kwa kutumia uwingi wao (wengi wape hata km ni wapumbavu na mabashite km ccm? Hapa wahenga sikubaliani nao katu....)Lini tena bunge na wanaccm wataandamana kwa kuwakamata rugemarila na Habindersing seti?
Na watakataa kabisa kama hawa kupiga makofi kikwete aliposema pesa sio zetu!
NChi hii bila unafiki haiendi
Hafanyi kwa ajili ya wanaccm bali watanzania.Sio "Pongezi za wanaJF" unapaswa kusema "Pongezi za wanaCCM "...
JF haiwezi kubariki huo upunguani.......
Kama ni kazi aliyopewa kikatiba vipi wale marais waliopita je walifanya ivyoo?
Mkuu imenibidi nicheke kwa sauti kubwa comment yako imenifurahisha sana-eti anaweza akaamuka siku moja aka deal nao kwa kweli ni ngumu ila kama ulivyosema inabidi tuwe tu na matumaini hayo maana hata tukikataa ndio ukweli wenyeweUko sahii ila hata kwa kidogo alichofanya ni vyema kumpongeza. We hujui tabia za binadamu. Unapompongeza ni kama motivation anaweza amka siku moja akadeal nao pia.
kungekuwa na uwezekana wa kutoa like 2 au tatu zaidi ningeamisha Like zote za kwenye ule uzi wa kupeana Likes nikupe.big up kwa maono mazuri kweli mtu mwenye nia ya kitu anaonekana kimatendo kama Magufuli angekuwa na nia,uchungu na uzalendo anaojifanya kuwa anao haya uliyayasema yasingekuwepo,ndio maana tunasema Rais aliyetokana na Mfumo wa CCM ni vigumu sana kwenda tofauti na mfumo ulio muweka madarakani.magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
Huo ndo ukweli, hiyo ni kazi aliyoomba kama watangulizi wake hawakufanya hilo ni kosa na ilipaswa wawajibishwe. Kuanza pongezi na maandamano ktk hatua hii ni mapema sana, kwani bado hakuna lililotoa tija ya maana.Kama ni kazi aliyopewa kikatiba vipi wale marais waliopita je walifanya ivyoo?