Pongezi za Selasini kwa Serikali zawa gumzo bungeni

Aunge mkono juhudi ili apongeze Vizuri
Ndugu zangu,

Tulishawahi kusema ipo siku kila mmoja ataongea ukweli wake.
=====
Pongezi kwa Serikali ya Tanzania zilizotolewa na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini bungeni mjini Dodoma zimeibua shangwe kutoka kwa wabunge wa CCM.

Dodoma. Pongezi kwa Serikali ya Tanzania zilizotolewa na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini bungeni mjini Dodoma zimeibua shangwe kutoka kwa wabunge wa CCM.

Mbunge huyo ambaye hivi karibuni alijiuzulu kuwa kaimu mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ameipongeza Serikali leo Jumanne Januari 28, 2020 alipokuwa akiuliza swali la nyongeza kuhusu upatikanaji wa maji wilayani Rombo.

Selasini amesema hivi sasa katika jimbo lake maji yanatoka, kuishukuru Serikali.

Awali, naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema Serikali imepanga kutumia chanzo cha maji cha ziwa Kyara kufikisha maji Rombo, kwa kuanza inapeleka Sh1.5 bilioni.

"Kwa awamu zote za Serikali na wabunge walionitangulia wamekuwa wakitaka ziwa Kyara litumike kama chanzo cha maji lakini haikuwezekana, lakini Serikali hii naipongeza imewezesha," amesema Selasini.

Chanzo: Mwananchi




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
THELATHINI...NAONA ANAPIGA U TURN TAARATIBU. ATAKUWA AMESHAFIKA BEI YA MANUNIZI. MSISHANGAE AKIUNGA MKONO JUHUDI KAMA WENGINE.
 
Ndugu zangu,

Tulishawahi kusema ipo siku kila mmoja ataongea ukweli wake.
=====
Pongezi kwa Serikali ya Tanzania zilizotolewa na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini bungeni mjini Dodoma zimeibua shangwe kutoka kwa wabunge wa CCM.

Dodoma. Pongezi kwa Serikali ya Tanzania zilizotolewa na mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini bungeni mjini Dodoma zimeibua shangwe kutoka kwa wabunge wa CCM.

Mbunge huyo ambaye hivi karibuni alijiuzulu kuwa kaimu mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ameipongeza Serikali leo Jumanne Januari 28, 2020 alipokuwa akiuliza swali la nyongeza kuhusu upatikanaji wa maji wilayani Rombo.

Selasini amesema hivi sasa katika jimbo lake maji yanatoka, kuishukuru Serikali.

Awali, naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema Serikali imepanga kutumia chanzo cha maji cha ziwa Kyara kufikisha maji Rombo, kwa kuanza inapeleka Sh1.5 bilioni.

"Kwa awamu zote za Serikali na wabunge walionitangulia wamekuwa wakitaka ziwa Kyara litumike kama chanzo cha maji lakini haikuwezekana, lakini Serikali hii naipongeza imewezesha," amesema Selasini.

Chanzo: Mwananchi




Sent using Jamii Forums mobile app
Pongezi au umalayamalaya wa siasa zile Hayati Mwl.alizokuwa akizisema....wanasiasa malayamalaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom