Ki ukweli unastahili pongezi si tu kwa namna unavyoisimamia Wizara lakini pia kwa weledi uliotukuka katika nafasi yako. Na kipekee barua ya kuomba radhi madaktari hasa pale walipo hukumiwa kisiasa na wanasiasa.
Pia Namna Wizara inavyosimamia miradi ya barabara za Mijini zinazojengwa kwa kiwango cha lami.
Pamoja na pongezi mheshimiwa naomba nikukumbushe Ahadi yako uliyo itoa mkoani Shinyanga Juu ya Barabara za Manispaa. Bado kimya na viporo kibao
Asante
Pia Namna Wizara inavyosimamia miradi ya barabara za Mijini zinazojengwa kwa kiwango cha lami.
Pamoja na pongezi mheshimiwa naomba nikukumbushe Ahadi yako uliyo itoa mkoani Shinyanga Juu ya Barabara za Manispaa. Bado kimya na viporo kibao
Asante