swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Badala kuwekeza kwenye kilimo anatuletea ushamba wa ndege
Kweli wewe ni chaguo la Mungu kwa bajeti hii watanzania wote tunakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu.
Tunakuombea uwe Rais wetu wa kudumu mpaka Mungu atakakuita.
Wewe ni wa pili au wa kwanza kabisa kuwa rais bora Tanzania.
Una haki ya kuanza kutangazwa kuwa kwenye heri kutokana na maisha unayoisha.
All the best my president.
umetishaKweli wewe ni chaguo la Mungu kwa bajeti hii watanzania wote tunakuombea kwa Mungu akupe maisha marefu.
Tunakuombea uwe Rais wetu wa kudumu mpaka Mungu atakakuita.
Wewe ni wa pili au wa kwanza kabisa kuwa rais bora Tanzania.
Una haki ya kuanza kutangazwa kuwa kwenye heri kutokana na maisha unayoisha.
All the best my president.
Nina mashaka kama umeichambua bajeti vizuri na kuielewa,possibly umeandika bila kujua hata content za bajeti!
Tupe utekelezaji wa bajeti ya mwaka ulioisha
Mie nina wasiwasi kama pia wewe unayaishi maisha ya mtanzania wa kawaida
Yaani Hiyo ilikuwa F kabisa
Kuna watu mna roho za korosho, mnafanya kila namna kupinga mazuri yote anayofanya Rais Magufuli hakika hamtaweza mtaishia kulalamika mpaka mwisho wa maishi yenu ya hapa duniani na matakwa yenu hayatasikilizwa kwa kuwa mnapingana na mpakwa mafuta wa bwana Rais Magufuli.Watu wa aina yako ndio mnafanya nchi hii inaendelea kuwa maskini. Hujafanya uchambuzi wowote. Basis ya kusifia hiyo bajeti ni nini? Huwezi ukaingia hapa JF na kuandika mambo uliyoandika hapa. Huko ni kudharau wasomaji wako. Hopeless kabisa. Na hao Watanzania unaowasemea ni kina nani? Ni Mtanzania gani aliyekutuma uje kumwaga sifa hapa bila msingi wowote? Yaani ungekuwa karibu nisingekuacha. Yaani nafikiri kuna uchambuzi wa maana umefanya kumbe wapi. Umeniudhi sana.
Ulitaka nipost watu (wapinzani) wanavyolilia mic na michango ya rambi rambi kwenye misiba ili ufurahi?Hii mada yako umeipost ukiwa umelewa au uko na akili timamu?!
Ukiona hivyo ujue wana mapepo maana pepo ndilo huwa linapinga kila kituHawa watu bwana hata uwafanyie nini hawakubali..
Sisi kama CCM tumesikitishwa Sana na uteuzi wa wapinzani serikalini, Tumejipanga kuwasaidia Nyinyi Ukawa kulinda kura zenu kwa hali na Mali ili kumpokonya tonge mdomoni maana ndani ya chama Ni ngumu.Sisi kama UKAWA, tumemkubali rais Magufuli kwa dhati kabisa na uchaguzi wa 2020 hatutasimamisha mgombea urais,
badala yake tutaelekeza nguvu zetu kwenye ubunge.
Na tutasimamisha wagombea ubunge nchi nzima.
Mungu ibariki Tanzania