Tumempongeza dr slaa ila ninaomba wanajamii tusiwasahau media zilizojitoa mhanga kumrusha kihali dr slaa na nguvu ya umma-mwanahalisi, raia mwema na mwananchi ni people's speaker. Tuna mashujaa ndani ya haya magazeti yakiongozwa na kubenea -mwanamapinduzi na ulimwengu jenerali na meena mwananchi. Hawa kama ni ethics za uandishi wanazifahamu pamoja na mazingira magumu na vitisho vya wachakachuaji wamesimama kidete kuelimisha umma, kuibua mijadala, kuondoa utata kwa vielelezo, kuwasha moto, magazeti haya ni wapiganaji tuliosalia nao watakaoikomboa tanzania. Tupo teyari kununua raia mwema na mwanahalisi tsh.1000 kwa moja kama mchango wetu kwa utafiti na uzalendo wa magazeti haya mnatisha mnakubalika -big up mwanahalisi team, big up raia mwema team as well as mwanachi team-keep fighting, keep going, dont loose track, wekeni mambo hadharani elimu ya uraia ni muhimu