Inakuwaje nchi werevu kuliko wote duniani sio nchi tajiri kuliko zote duniani.Ujinga kitu kibaya sana unadiliki kusema Israel ni watu weelevu kuliko wote duniani kwanini usiseme watanzania ni waelevu kupita wote duniani
Wewe hujabarikiwa? Wayahudi wote wanakuzidi kipato? Hakuna watu wenye hofu duniani kama wayahudi.Wewe na Myahudi ambaye pia ameshabarikiwa na Mwenyezi Mungu nani ana Akili Kubwa na Nyingi?
HahahahahaaUjinga kitu kibaya sana unadiliki kusema Israel ni watu weelevu kuliko wote duniani kwanini usiseme watanzania ni waelevu kupita wote duniani
Nikifikiria hayo huwa nabaki kujiuliza, "waziri wa kilimo anafanya kazi gani"?Tungewaomba tractor 5000 za kulimia tukawa tunalipa kama mkopo wakaja pia kutujengea irrigations schemes maeneo mbalimbali kwenye mabonde yetu sasa hivi tungekuwa tunaifeed misosi Africa nzima kama sio na europe..
Huu nadhan makonda alisema upon ticiaraeii pamoja na kugundua wacheki porn na walioibet Haifa starz ishindweHakuna wa kututisha. Wakiweza waje na mtambo wa kujua jinsi tunavyowala wake zetu pumbavu.
We mtoa hoja acha kuogopa kivuli chako!!
Hakuna mtambo wowote zaidi ya kwenda kwa services provider wa mitandao ya simu kuomba mawasiliano kati ya namba moja na nyingine.
Watanzania wangekuwa werevu si wangejiandikia katiba nzuri,itakayowasaidia kuweka uongozi makini na wenye welediUjinga kitu kibaya sana unadiliki kusema Israel ni watu weelevu kuliko wote duniani kwanini usiseme watanzania ni waelevu kupita wote duniani
mwenye huu muandiko kama namfahamu.Nilikuwa siamini pale ambapo Mtu Mmoja aliponiambia kuwa niwe makini na Simu yangu hasa nikiwa naongea mambo Nyeti na hakuishia tu hapo akaniambia kuwa niamini nisiamini Simu karibia zote za Watu Maarufu nchini Tanzania wawe wa Kisiasa na Kijamii zinasikilizwa na Watu Maalum nchi hii na kwamba kuna Siku baadhi ya Watanzania watakuja Kuumbuka na hatimaye sasa wanaanza Kuumbuka na Kuumbuliwa.
Sasa naanza Kuona ule Ushirikiano wenu na Taifa la Watu Werevu pengine kuliko wengine hapa duniani la Israeli hadi miaka miwili iliyopita wakatupa Mtambo Maalum wa Kudukua Mawasiliano ya Watu bila Wao Kujijua kwa matumizi ya Kiusalama umeanza Kufanya Kazi na huenda Siku si nyingi Watanzania tukaja Kusikia Udukuzi wa Sauti zingine ambazo tunaweza tusiamini Macho au Masikio yetu kama Walengwa wangeweza kuzungumza / kusema waliyoyasema humo.
Kwa taarifa za chini chini kabisa ambazo bado naendelea Kuzithibitisha nimedokezewa ya kwamba baada ya Kusikia Udukuzi wa Sauti za waliotangulia basi tayari Mtambo huo huo wa Kimawasiliano wa Kijasusi kutoka nchini Israeli Watanzania sasa tujiandae kuanza Kuzisikia Sauti za Watu Wawili ambapo Mmoja alikuwa na Dhamana ya Kikatiba ya nchi hii pamoja na Mwanae ambaye kuna muda nae aliichafua nchi hii kwa aina ya Biashara yake Haramu aliyokuwa akiifanya akiwa anazungumza na Watu ambao wanatuhumiwa sasa katika Sauti zinazosikika.
Rai yangu Kwako / Kwenu kuweni makini na Simu zenu kwani Mtambo wa Kimawasiliano wa Kijasusi wa Kiyahudi ( Israeli ) hauna Masihara ambapo ukikuamulia Kukudukua Kuanzia Sauti yako na hata Meseji zako za Simu unaweza Kufanya hivyo muda na wakati wowote ule. Ndiyo sitaki na wala sipendi Siasa kwani nimegundua kuwa Siasa ni Mchezo wa Kutafutana ambao umejaa Unafiki, Chuki na Fitna nyingi mno.
Poleni sana kwa wale ambao yamewakuta.
Hakuna wa kututisha. Wakiweza waje na mtambo wa kujua jinsi tunavyowala wake zetu pumbavu.