Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Watanzania tujenge tabia ya kupongezana mwenzetu anapofanya kazi nzuri na jana bila ya usimamizi wa karibu na wenye utashi uliotukuka wa dada yetu Rosemary si dhani kama mdahalo wa Dr. Slaa ungelifana jinsi ulivyofana.
Maswali ya awali ambayo Rosemary aliyauliza yaligusa karibu nyanja zote ambazo sisi wasikilizaji tulio mbali tungelipenda kuyauliza na kumaliza kiu tuliyokuwa nayo na huyu mgombea Uraisi ambao sis wengine tayari tumekwisha kumbatiza rasmi Raisi Mtarajiwa.
Hata wale waliokuwa na maswali na walioruhusiwa kuuliza walijikuta wakirudia hoja zile zile ambazo Rosemary alikwisha kuziuliza.
Ninachukua nafasi hii kumpongeza kwa niaba yangu binafsi na ya watanzania wengine ambao wanakubaliana na mitazamo hii.................Keep it up.
Maswali ya awali ambayo Rosemary aliyauliza yaligusa karibu nyanja zote ambazo sisi wasikilizaji tulio mbali tungelipenda kuyauliza na kumaliza kiu tuliyokuwa nayo na huyu mgombea Uraisi ambao sis wengine tayari tumekwisha kumbatiza rasmi Raisi Mtarajiwa.
Hata wale waliokuwa na maswali na walioruhusiwa kuuliza walijikuta wakirudia hoja zile zile ambazo Rosemary alikwisha kuziuliza.
Ninachukua nafasi hii kumpongeza kwa niaba yangu binafsi na ya watanzania wengine ambao wanakubaliana na mitazamo hii.................Keep it up.