Pongezi Sirro, Mahakama na Tume ya Uchaguzi kazi kwenu

kama watanzania wangekua na akili timamu wangejua kabisa ambaya yanaendelea baada ya uchaguzi

haya yanayofanywa na polisi ni maagizo pia,sababu serikali inajua wazi kabisa kwamba wananchi hawajawahi kuwa chanzo cha vurugu,bali wao na jeshi la polisi na vyombo vya usalama

mbona sahivi jeshi limekua na weledi ghafla?!...kumbe huwa ni makusudi,na inafahamika kwamba baada tu ya uchaguzi hali itarudi vile kama mwanzo,isiwadanganye hii hali...Siro hana weledi wowote,ni anatumiwa tu kwa remote na anafata,angekua mweledi angesimama hata kipindi cha baada ya uchaguzi.
 
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Pamoja na yote kwa hali ya amani inayoendelea kuwapo, itakuwa ni kukosa uelewa kutompa pongezi binafsi afande IGP Simon Sirro. Hii zaidi ikiwa kwa jinsi alivyo lidhibiti jeshi la polisi vilivyo tangia kuwasili kwa bwana Tundu Lissu hadi hii leo. Kwa hakika Sirro ni IGP wa watu.

Ni wazi kuwa wapo kina mamboleo, kina mutoro na wale kama yule bwana wa Mbeya ambao wangependa mno kufanya yao kwa minajili ya kujipendekeza tu.

Kamanda Sirro amekuwa muda wote macho kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani wala wa sheria pasipo na kujali makunyanzi. Siyo siri tena kuwa tunayoyaona ni jitihada binafsi za kamanda Sirro.

Kwa hakika so far so good - na amang'ana mbuya, mura!

Heko Tundu Lissu na wafuasi wako kwa kuzingatia sheria na taratibu zote zilizopo kwani ndani ya changamoto zilizopo, kwa hakika mmeufanya utendaji wa kamanda Sirro na polisi wake kuwa ni wenye tija kubwa.

Ni dhahiri kuwa "sote kwa pamoja tunaweza!"

Ifahamike kuwa hata Prof. Juma na mh. Jaji Kaijage kwa niaba ya mahakama na tume, kama alivyo Sirro mnayo sehemu yenu na uhuru wa kutosha kuhakikisha kuwa amani inadumishwa hapa nchini. Kwa kutojipendekeza tu, kama wale wajenga maofisi Chatto, nanyi pia mnaweza kutia mchango wenu mkubwa na wa kutosha tu. Mbona Sirro ameweza?

Mahakama na Tume ya uchaguzi tupeni raha kwa kutumia busara zenu kama wanadamu tu.

Wakuu wa mahakama na tume mliteuliwa kusaidia kuiweka nchi salama na kwa hakika inawezekana. Yawezekana kuwa haupo muda ulio bora kuisadia hii nchi katika hilo labda juliko ulivyo muda huu. Kwani wasiotutakia wale mabingwa wa kukaanga mbuyu sasa hivi hawalali.

Macho yetu yote kwenu. Tunaamini inawezekana na kuwa hamtatuangusha.

Sirro ametutoa kimasomaso dhidi ya wabaya wetu hao ambao wangependa mno kutuona tukitoana macho na kuuwana. Chonde chonde mahakama na tume tusaidiane sote kudumisha amani.

Kinachoombwa kwenu ni kutenda haki na kwa uwazi tu kwa wagombea wote. Kwa hakika tunayowaomba si makubwa kwani kimsingi tunawaomba kutekeleza wajibu wenu tu na wala si zaidi hapo.

Muda wa kuiponya nchi yetu ni sasa

Wito: Chonde chonde, Tanzania ni zaidi mno ya yeyote
Police wetu wakiamua wanafanya kazi yao vizuri.
 
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Pamoja na yote kwa hali ya amani inayoendelea kuwapo, itakuwa ni kukosa uelewa kutompa pongezi binafsi afande IGP Simon Sirro. Hii zaidi ikiwa kwa jinsi alivyo lidhibiti jeshi la polisi vilivyo tangia kuwasili kwa bwana Tundu Lissu hadi hii leo. Kwa hakika Sirro ni IGP wa watu.

Ni wazi kuwa wapo kina mamboleo, kina mutoro na wale kama yule bwana wa Mbeya ambao wangependa mno kufanya yao kwa minajili ya kujipendekeza tu.

Kamanda Sirro amekuwa muda wote macho kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani wala wa sheria pasipo na kujali makunyanzi. Siyo siri tena kuwa tunayoyaona ni jitihada binafsi za kamanda Sirro.

Kwa hakika so far so good - na amang'ana mbuya, mura!

Heko Tundu Lissu na wafuasi wako kwa kuzingatia sheria na taratibu zote zilizopo kwani ndani ya changamoto zilizopo, kwa hakika mmeufanya utendaji wa kamanda Sirro na polisi wake kuwa ni wenye tija kubwa.

Ni dhahiri kuwa "sote kwa pamoja tunaweza!"

Ifahamike kuwa hata Prof. Juma na mh. Jaji Kaijage kwa niaba ya mahakama na tume, kama alivyo Sirro mnayo sehemu yenu na uhuru wa kutosha kuhakikisha kuwa amani inadumishwa hapa nchini. Kwa kutojipendekeza tu, kama wale wajenga maofisi Chatto, nanyi pia mnaweza kutia mchango wenu mkubwa na wa kutosha tu. Mbona Sirro ameweza?

Mahakama na Tume ya uchaguzi tupeni raha kwa kutumia busara zenu kama wanadamu tu.

Wakuu wa mahakama na tume mliteuliwa kusaidia kuiweka nchi salama na kwa hakika inawezekana. Yawezekana kuwa haupo muda ulio bora kuisadia hii nchi katika hilo labda juliko ulivyo muda huu. Kwani wasiotutakia wale mabingwa wa kukaanga mbuyu sasa hivi hawalali.

Macho yetu yote kwenu. Tunaamini inawezekana na kuwa hamtatuangusha.

Sirro ametutoa kimasomaso dhidi ya wabaya wetu hao ambao wangependa mno kutuona tukitoana macho na kuuwana. Chonde chonde mahakama na tume tusaidiane sote kudumisha amani.

Kinachoombwa kwenu ni kutenda haki na kwa uwazi tu kwa wagombea wote. Kwa hakika tunayowaomba si makubwa kwani kimsingi tunawaomba kutekeleza wajibu wenu tu na wala si zaidi hapo.

Muda wa kuiponya nchi yetu ni sasa

Wito: Chonde chonde, Tanzania ni zaidi mno ya yeyote

Bandiko hili halipaswi kupita pasipo kuungwa mkono! Asante sana kwa angalizo ulilotoa. Naamini watu wa system wanaopitia mandiko haya watafikisha ujumbe kwa wahusika.
 
Kaka hongera Sana kwa kukitambua hilo. Binafsi nimeona IGP Siro anastahili hii pongezi mpaka hapa tulipofikia.

Matarajio ya watu kwa yatakayotokea baada ya ujio wa Tundu Lisu ni tofaut na jinsi ilivyo Sasa. Kampeni zinaebdelea za kistaarabu kabisa Amani imetahamalaki . Hii ndio Tanzania yenye misingi ya Amani tangia tupate Uhuru

Niendelee kuvisii vyombo vya ulinzi na usalama kuendelea kuhakikisha Amani inakuwepo, waangalie Uhuru wa watu kufanya yao ambayo hayavunji sheria za nchi.
Nawapongezeni Sana vyombo vya ulinzi na usalama
 
Ni kweli kabisa, jamaa anafanya kazi maana hata kiwango cha mapomu kimepungua. Ila mleta mada weka vizuri Tittle yako. Inaonesha kama unapongeza wote uliowataja. Ina ukakasi kimantiki
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Pamoja na yote kwa hali ya amani inayoendelea kuwapo, itakuwa ni kukosa uelewa kutompa pongezi binafsi afande IGP Simon Sirro. Hii zaidi ikiwa kwa jinsi alivyo lidhibiti jeshi la polisi vilivyo tangia kuwasili kwa bwana Tundu Lissu hadi hii leo. Kwa hakika Sirro ni IGP wa watu.

Ni wazi kuwa wapo kina mamboleo, kina mutoro na wale kama yule bwana wa Mbeya ambao wangependa mno kufanya yao kwa minajili ya kujipendekeza tu.

Kamanda Sirro amekuwa muda wote macho kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani wala wa sheria pasipo na kujali makunyanzi. Siyo siri tena kuwa tunayoyaona ni jitihada binafsi za kamanda Sirro.

Kwa hakika so far so good - na amang'ana mbuya, mura!

Heko Tundu Lissu na wafuasi wako kwa kuzingatia sheria na taratibu zote zilizopo kwani ndani ya changamoto zilizopo, kwa hakika mmeufanya utendaji wa kamanda Sirro na polisi wake kuwa ni wenye tija kubwa.

Ni dhahiri kuwa "sote kwa pamoja tunaweza!"

Ifahamike kuwa hata Prof. Juma na mh. Jaji Kaijage kwa niaba ya mahakama na tume, kama alivyo Sirro mnayo sehemu yenu na uhuru wa kutosha kuhakikisha kuwa amani inadumishwa hapa nchini. Kwa kutojipendekeza tu, kama wale wajenga maofisi Chatto, nanyi pia mnaweza kutia mchango wenu mkubwa na wa kutosha tu. Mbona Sirro ameweza?

Mahakama na Tume ya uchaguzi tupeni raha kwa kutumia busara zenu kama wanadamu tu.

Wakuu wa mahakama na tume mliteuliwa kusaidia kuiweka nchi salama na kwa hakika inawezekana. Yawezekana kuwa haupo muda ulio bora kuisadia hii nchi katika hilo labda juliko ulivyo muda huu. Kwani wasiotutakia wale mabingwa wa kukaanga mbuyu sasa hivi hawalali.

Macho yetu yote kwenu. Tunaamini inawezekana na kuwa hamtatuangusha.

Sirro ametutoa kimasomaso dhidi ya wabaya wetu hao ambao wangependa mno kutuona tukitoana macho na kuuwana. Chonde chonde mahakama na tume tusaidiane sote kudumisha amani.

Kinachoombwa kwenu ni kutenda haki na kwa uwazi tu kwa wagombea wote. Kwa hakika tunayowaomba si makubwa kwani kimsingi tunawaomba kutekeleza wajibu wenu tu na wala si zaidi hapo.

Muda wa kuiponya nchi yetu ni sasa

Wito: Chonde chonde, Tanzania ni zaidi mno ya yeyote
 
Kaka hongera Sana kwa kukitambua hilo. Binafsi nimeona IGP Siro anastahili hii pongezi mpaka hapa tulipofikia.

Matarajio ya watu kwa yatakayotokea baada ya ujio wa Tundu Lisu ni tofaut na jinsi ilivyo Sasa. Kampeni zinaebdelea za kistaarabu kabisa Amani imetahamalaki . Hii ndio Tanzania yenye misingi ya Amani tangia tupate Uhuru

Niendelee kuvisii vyombo vya ulinzi na usalama kuendelea kuhakikisha Amani inakuwepo, waangalie Uhuru wa watu kufanya yao ambayo hayavunji sheria za nchi.
Nawapongezeni Sana vyombo vya ulinzi na usalama

Pamoja na mashaka lakini Sirro hadi hapa kaonyesha njia na kuwa inawezekana.

Bado Juma na Kaijage. Tunaendelea kusubiri tukitambua kuwa wapo wanaotamani kuwa kama wangekuwa wao ni ma IGP!
 
Kaka hongera Sana kwa kukitambua hilo. Binafsi nimeona IGP Siro anastahili hii pongezi mpaka hapa tulipofikia.

Matarajio ya watu kwa yatakayotokea baada ya ujio wa Tundu Lisu ni tofaut na jinsi ilivyo Sasa. Kampeni zinaebdelea za kistaarabu kabisa Amani imetahamalaki . Hii ndio Tanzania yenye misingi ya Amani tangia tupate Uhuru

Niendelee kuvisii vyombo vya ulinzi na usalama kuendelea kuhakikisha Amani inakuwepo, waangalie Uhuru wa watu kufanya yao ambayo hayavunji sheria za nchi.
Nawapongezeni Sana vyombo vya ulinzi na usalama

..wapinzani wamedhihirisha kwamba wao ndio walinzi wa amani ya nchi yetu.

..maeneo yote aliyopita TL hakujatokea tukio lolote na uvunjifu wa amani.

..mara uvunjifu wa amani husababishwa na polisi wetu kukosa weledi, na mfano matukio ya kuuwawa kwa daudi mwangosi, na aquilina akwilini.
 
Mahakama kusimamisha kesi za Lissu tumeona haki inawezekana. Polisi pia tumeona.

NEC na ZEC mmegusa gusa mzizi wa fitina bado.

Tupeni raha kwa kutupa haki tu wana wa nchi hii.

Hii nchi ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom