Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
- Thread starter
- #241
Mkuu Msnajo, kiukweli umeuliza swali la msingi sana, ambalo jibu lake linanisaidia sana kuwaelimisha hawa vichwa maji tunaobishana nao humu kuhusu ripoti hii. World Bank ni moja ya taasisi zinazoongoza kwa kufanya tafiti, tafiti hii ya kupunguza umasikini imetumia sampling za 2000-2015, halafu ripoti imetolewa 2019. Kitendo cha kuniuliza "Ni kwa nini usingetafuta ripoti currently ili ku-validate unachosema mkuu?!", ni uthibitisho na wewe pia ni mmoja wa hawa hawa vilaza wa humu ambao mkiwekewa link hamsomi, nimeweka link, ripoti hii ni ya mwaka huu!, hivyo kuulizia the current report ni ukilaza tuu wa wewe kutosoma kuwa hii repoti ni ya Dec, 2019, hivyo ni very current!. Swali labda lingekuwa kwanini utumie data za 2011 kutoa report ya 2019, hili sasa sio langu, ni la WB.You are wrong my bro!! Pongezi ziende kwa wale waliokuwa hicho kipindi. Mkuu unapotosha kwa makusudi. Taifa linawategemea wasomi kama ninyi, ila mnatuangusha, hata habari mnazotoa ni za kupotosha badala ya ukweli. Ni kwa nini usingetafuta ripoti currently ili ku-validate unachosema mkuu?!
P