Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
- Thread starter
- #221
Kiukweli kama hajawahi kuizunguka Tanzania haswa kule deep interiors huwezi kuujua umasikini uliotopea. Mimi mwenyewe niliushuhudia baada ya kupata tender ya TASAF kuzunguka nchi nzima kuripoti kazi ya uhaulishaji fedha kwa kaya masikini.Mimi nafikiri ni bora ripoti ingesema "Umaskini umepungua kwa Paskali Mayalla na wanufaika wa system, kwani sisi waTz bado tunao umaskini.
Katika kundi la wenye umasikini uliotopea, kipimo cha kwanza ni kuishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku. Kwenye kundi hilo, kiukweli mimi ni tajiri mkubwa. Ile kumiliki tuu smart phone ni kipimo tosha wewe sio mtu wa kundi hili.
P