masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,853
- 13,137
Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye Awamu ya Tano imesikia kilio cha wananchi wa wilaya ya Rungwe.
Barabara ya Katumba-Mbambo-Tukuyu.
Mzunguko wa barabara hii utakuwa mkombozi kwa maisha ya mkulima na wanachi kwa sehemu kubwa sana wilaya ya Rungwe.
Asante Rais Magufuli juhudi zako zitaonekana katika uchaguzi wa 2020.
Barabara ya Katumba-Mbambo-Tukuyu.
Mzunguko wa barabara hii utakuwa mkombozi kwa maisha ya mkulima na wanachi kwa sehemu kubwa sana wilaya ya Rungwe.
Asante Rais Magufuli juhudi zako zitaonekana katika uchaguzi wa 2020.