Uchaguzi 2020 Pongezi nyingi sana kwa Lissu, Mkewe, Uongozi wa CHADEMA na Watanzania walioshiriki kwenye kampeni za CHADEMA

ALERT
👉Taarifa toka jimbo la Kavuu nikuwa mawakala 30 wa CHADEMA wamekamatwa na polisi waliokuwa wanajiandaa kwenda kwenye vituo..

@tanpol Sirro ndiyo maana tunataka kukupeleka ICC kwa huu upumbavu wako unaofanya na CCM

@TumeUchaguziTZ who is instructing this to be done?
KAVUU ni Znz, au?
 
ndani ya Tume kuna mtu wangu ambaye baada ya jambo lile alininong'oneza kwamba katika fomu za Lissu hakukukutwa hata kosa moja la kusingizia , tume nzima ilishangaa!
T.A. Lissu ni kichwa kweli kweli.

Inasemekana fomu ya mmiliki wa PhD ilikuwa na makosa lukuki!
 
Mimi nakumbuka September 7, 2017 alivyopakiwa kwenye ile ndege.

Hivi kuna yeyote siku ile aliamini miaka mitatu baadae Tundu Lissu atafunga kampeni za Cdm kama mgombea Uraisi?

Na baada ya kupona, na jinsi CCM na vyombo vyake walivyokuwa wamefura kwasababu Tundu Lissu amepona, kuna aliyeamini atarudi Tanzania chini ya utawala wa Magufuli?

Na baada ya kurejea nchini, na kupitishwa kugombea Uraisi, na kuanza kutafuta wadhamini, na mahakama kuanza kumnyatia. Kuna aliyeamini Polisi hawatamkamata na kumnyima dhamana?

Halafu siku ile ya kurudisha fomu, na jinsi alivyosubirishwa mpaka usiku mzito. Je, ni wangapi waliamini hatapitishwa na Tume?

Na hata alivyoanza kampeni ni wangapi walitegemea atamaliza salama?
Halafu pamoja na yoyote hayo hawatoamini baada kuona kaambulia 29%
Just thinking aloud, nikiwa nimepanga foleni kusubiri kupiga kura right now at 06:25
 
Nilikiwa na hofu juu ya afya yake kama angemudu kusimama majukwaani.
Mwogopeni sana Mungu
Mimi nakumbuka September 7, 2017 alivyopakiwa kwenye ile ndege.

Hivi kuna yeyote siku ile aliamini miaka mitatu baadae Tundu Lissu atafunga kampeni za Cdm kama mgombea Uraisi?

Na baada ya kupona, na jinsi CCM na vyombo vyake walivyokuwa wamefura kwasababu Tundu Lissu amepona, kuna aliyeamini atarudi Tanzania chini ya utawala wa Magufuli?

Na baada ya kurejea nchini, na kupitishwa kugombea Uraisi, na kuanza kutafuta wadhamini, na mahakama kuanza kumnyatia. Kuna aliyeamini Polisi hawatamkamata na kumnyima dhamana?

Halafu siku ile ya kurudisha fomu, na jinsi alivyosubirishwa mpaka usiku mzito. Je, ni wangapi waliamini hatapitishwa na Tume?

Na hata alivyoanza kampeni ni wangapi walitegemea atamaliza salama?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mtu amepanda mbegu muhimu sana kwa Watanzania "UJASIRI"
..Nadhani walitafuta kila sababu ya kumuengua ikashindikana.

..Sasa angalia vikwazo ambavyo kampeni yake wamepitia.

..mashambulizi toka kwa CCM, Kamati ya Amani, Igp,Nec, Msajili, Tcaa, Tcra, na wengine.

..angekuwa mtu wa kawaida angevunjika moyo na kubwaga manyanga.

..Tunashukuru kwa kampeni zake, na tunamuombea USHINDI.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
ALERT
Taarifa toka jimbo la Kavuu nikuwa mawakala 30 wa CHADEMA wamekamatwa na polisi waliokuwa wanajiandaa kwenda kwenye vituo..

@tanpol Sirro ndiyo maana tunataka kukupeleka ICC kwa huu upumbavu wako unaofanya na CCM

@TumeUchaguziTZ who is instructing this to be done?
Hao walipewa alert wawe kwa camps na wasitembee mmoja mmoja imekuaje wapuuze na tulijua yote haya?
 
Pongezi nyingi za dhati Zimuendee pia Mr Kigogo na timu yake huko walipo wamefanya kazi ngumu usiku na mchana ! Kusimia haki ! MUNGU AWABARIKI SANA
 
Back
Top Bottom