PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,855
Napenda kuipongeza kamati ya ushindi Chadema kwa mkakati mzuri wa kuifanya Chadema kushinda uchaguzi huu, Mambo haya mmeyafanya kisayansi zaidi na kuibomoa kabisa ccm kiasi Cha kukosa Cha kuzungumza mbele ya watu, badala yake unaona mgombea wa ccm anasimama anasema, " Chadema wametumwa na mabeberu" bila kujibu hoja za wapinzani, mfano, utekaji watu, udhalilishaji wanawake, maisha magumu, uwazi wa raslimali taifa, misallocation ya pesa za vuja jasho la nchi hii, na mambo mengine mengi.
Niipongeze kamati iliyomteua kampeni meneja Wa T. Lisu, analitawala jukwaa vyema, niwapongeze walioiongoza tume kuwapa ratiba nzuri ya maeneo ya kufanyia kampeni, mmeanza na POTENTIAL ZONES na mmepata kuungwa mkono kwa asilimia kubwa, niwapongeze pia kwa kutokutumia picha nyingi za mgombea uraisi, maana picha hazizungumzi, na wananchi siyo wajinga, wanajua picha huwa ni danganya Toto, hongereni kwa kuandaa wasanii tulivu wasio maarufu lakini wameleta amshaamsha hata watu kucheza kwa furaha wakati mgombea uraisi akiwa anaingia jukwaani, mnastahiri NISHANI baada ya ushindi mkubwa mwezi October, 28.
MUNGU ANAJAMBO LAKE KUIONDOA CORONA TANZANIA
Niipongeze kamati iliyomteua kampeni meneja Wa T. Lisu, analitawala jukwaa vyema, niwapongeze walioiongoza tume kuwapa ratiba nzuri ya maeneo ya kufanyia kampeni, mmeanza na POTENTIAL ZONES na mmepata kuungwa mkono kwa asilimia kubwa, niwapongeze pia kwa kutokutumia picha nyingi za mgombea uraisi, maana picha hazizungumzi, na wananchi siyo wajinga, wanajua picha huwa ni danganya Toto, hongereni kwa kuandaa wasanii tulivu wasio maarufu lakini wameleta amshaamsha hata watu kucheza kwa furaha wakati mgombea uraisi akiwa anaingia jukwaani, mnastahiri NISHANI baada ya ushindi mkubwa mwezi October, 28.
MUNGU ANAJAMBO LAKE KUIONDOA CORONA TANZANIA