Kuna sehemu ya kutoa makavu sio msibani na kwa wahanga kama wale wa Bukoba.Hivyo inatakiwa,inaitwa makavu.
Watu ni wanamsifia kinafiki tu.yaliyoko ndani ya mioyo yao wanayajuwa wenyewe. Yeye si Mungu umzomee si atakumaliza hapo hapo.Hahahaha.... Hili haliwezi kuwatoa kisiasa wapinzani. Limeshapita.
Mbunge wao kasema anamuunga mkono Magu
Unafiki utatumaliza watanzania. Hata kama unampenda sana Magufuli lakini jaribu kuwaza kwa kina kidogo kuhusu kauli za dharau anazotoa Mfalme kwa watu wake waliopatwa na majanga. Hapa ni ubinadamu tu wala haihitaji uwe professor kulitambua hili.Tatizo lasiku izi kila mtu anajua ila anasahau unaweza sema mengi ya muhimu ila yatakayo sambazo niyale hasi tu ivi nani anatembelea akili zetu wakizazi ichiii? Nakuwa na simanzi kila mara ninaposoma maandiko mbalimbali. Siku si zetu bali kumbuka upandalo ndo uvunalooo
Inasikitisha sana pale mwanachi anapopiga magoti kumuomba rais bati moja as if ni anaomba uhai kwa Mungu.Nimempenda yule mzee aliesema."hata ukinipa bati moja poa tu" na bwana mkubwa akamwambia "nitakupa mabati salasini" I hope alimaanisha thalathini....
Huyu jamaa ni mnafiki na ana roho mbaya kuliko wote waliopita.Magufuli angependeka sana kama angekuwa na huruma ya kweli. Ile hotuba siyo ya kuhamasisha wafiwa. Anawezaje kupenda kujenga vitu kuliko kusaidia watu binafsi kwanza? Watu na familia zikijengeka ndiyo unapata Taifa la kujenga shule na hospitali na vingine.
Mjane anayetafuta hela ya kujenga nyumba atalima saa ngapi?
Poleni wana Kagera.
Hatukatai kusema ukweli lakini ukweli huu uendane na mazingira ya unaowaambia ukweli.Inaonyesha watu wengine hawapendi kusikia ukweli. Kunasehemu nyingu Tanzania maafa yalitokea lakini wananchi hawakujengewa nyumba kwanini wananchi wa bukoba pekee ndio wajengewe kwani wao nitofauti na watanzania wengine? Au ndugu mwandishi umetumwa?
mto Ngono na kijiji cha Katerero vina uhusiano gani na tetemeko la Kagera?Ndugu zangu wanakagera nyie ni watu wastaarabu mno, pamoja kwamba mmepatwa na majanga ya tetemeko la ardhi na serikali ikashindwa kuwasaidia bado mmeonesha kiwango cha juu kabisa cha kustaraabika nyie sio wa nchi hii kwa ustaarabu mlionesha kwa Mheshimiwa rais.
Pamoja na Mheshimiwa rais kuwasimanga baadala ya kuwapa pole lakini mliendelea kuwa wapole na kumsikiliza hadi mwisho, maneno aliyokuwa anayatamka Mhe rais hayana staha na sio maneno ambayo wafiwa wanapaswa kuwaambiwa, ikumbukwe kwamba hakuna mhanga aliyetaka kujengewa nyumba kama alivyosema Mhe watu walitaka pesa za rambirambi zitumike kuwasaidia wahanga na serikali ijenge miundombinu kwa pesa zake.
Mhe rais anasema nyie ni watu majanga tu, tetemeko, ukimwi, ugonjwa wa mnyauko bila kujua kwamba majanga haya ni asili hayakwepeki hii ni dhihaka kubwa sana kwenu pamoja na dhihaka hizo zote mlienda kumvumilia hata kumshangilia kinafiki.
Nina uhakika Mhe rais angeatamka haya kwa jamii ya watu wengine angepopolewa na mawe na uwanja ungegeuka wa damu, peleka dhihaka kama hizo Tarime uone utakachoambulia, endeleeni na ustaarabu huo Mwenyezi Mungu atawalipia.
Hajasema hivyo. Wekeni basi clip nzima ili wenye akili ya kutafsiri lugha watoe tafsiri. Propaganda za kitoto pelekeni FBHebu kanusha kama hakusema hayo
Wengi ni wepesi kusahau, lakini ukweli ni huo,2020 atapata kura nyingi kutoka huko,sina shaka juu ya hili.na atakayebisha ni yule asiyewajua watanzania
Aisee.......tetemeko wao, ukimwi wao, .... alisahau VITA vya Amin wao... Hii haikuwa poa.Ahsante sana Mkuu kwa hekima na busara zako nyingi kwenye hili bandiko lako. Baadhi ya Watanzania wasiojitambua wanataka kupigia makofi kauli za kustaajabisha katika hafla ya kuwafariji wahanga. Inashangaza sana kusema kweli. Kama Watanzania tusipojithamini wenyewe basi hata majirani zetu wakitudharau tusipige kelele maana kiongozi wa nchi yeye hakuona shida kutumia lugha ya kustaajabisha katika hafla ya kuwafariji wana Kagera na eti anawashangaa! Ukimwi wao tetemeko wao! Maafa hayana mmoja leo yametokea Kagera kesho yatakuwa sehemu nyingine nchini.
Sawa yawezekana ametumwa, je, zilepesa tulizo changishwa kwa dhumuni la kuwasaidia wahanga watetemeko hapo napo vipi?Inaonyesha watu wengine hawapendi kusikia ukweli. Kunasehemu nyingu Tanzania maafa yalitokea lakini wananchi hawakujengewa nyumba kwanini wananchi wa bukoba pekee ndio wajengewe kwani wao nitofauti na watanzania wengine? Au ndugu mwandishi umetumwa?
Zile pesa azikufika kwa walengwa,Sawa yawezekana ametumwa, je, zilepesa tulizo changishwa kwa dhumuni la kuwasaidia wahanga watetemeko hapo napo vipi?
2020 atapata kura nyingi kutoka huko,sina shaka juu ya hili.na atakayebisha ni yule asiyewajua watanzania