Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Professor Mbarawa na Hon. Lukuvi
Nikijaribu kuangalia makosa yenu, siyaoni. Nikiangalia mapungufu yenu naona mazuri zaidi kuliko mapungufu. Mnachapa kazi utadhani mmesoma pamoja na Mh. Rais.
Uchapakazi wenu ni nafuu kwa Watanzania wa hali za chini, kati na juu. Mambo mnayosimamia yanatugusa kila siku. Barabara na Ardhi.
Nawapa HEKO sana.
Nikijaribu kuangalia makosa yenu, siyaoni. Nikiangalia mapungufu yenu naona mazuri zaidi kuliko mapungufu. Mnachapa kazi utadhani mmesoma pamoja na Mh. Rais.
Uchapakazi wenu ni nafuu kwa Watanzania wa hali za chini, kati na juu. Mambo mnayosimamia yanatugusa kila siku. Barabara na Ardhi.
Nawapa HEKO sana.