TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,759
- 1,794
Sawa boss ila tusiombee yanikuteeSiku yakikukuta usiache kurudisha mrejesho.
Sawa boss ila tusiombee yanikuteeSiku yakikukuta usiache kurudisha mrejesho.
You nailed it bossHata hivyo visichana vitafanya kila kitu ili violewe, rangi zake utaziona Baadaye ya ndoa.
Cha msingi ni kumuomba Mungu akuelekeze mahali sahihi, anaweza kuwa single mother akawa ana akili au akawa kimeo, the applies to hao unaowaita visichana.
All the best
Wala haujakosea mkuu
Muhimu mapenziKabisa mkuu
Inategemea usingle mother ulikujaje either mwanaume aliezaa nae aliamua tu kumwacha labda hata tu kwa kupenda waschana wengine akamwona huyo hafai.Kwasifa hizo Asingekuwa single mother
Ki ukweli kabisa ukitaka kufurahia ngono chukua singo mazasijawahi kujuta wala kujilaumu kuwa single mother
Hongera mkuuMapenzi ni hisia. Mimi nimeoa single mother na nimezaa naye watoto wawili .Wakiume na wakike.Yeye alishazaa wa kiume kwanza.Nampenda saana.Mapenzi yetu yalianzia primary school.Nimembikiri mwenyewe.Sisi ni wapenzi wa kwanza kwa kila mmoja.Kitabu kilitutenganisha kwa kipindi fulani.Hatimaye tupo pamoja.
Huyo anapoza machungu baada ya kuachwa, subiri uone akiona huna msaada kwa mwanae..!Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......
Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........
Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.
Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....
Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
Aya mzeeeSingle mother ni wanawake wazuri, ila itafika sehemu mwanaume utaanza kuishi kwa wasiwasi sana. Mi kuna mashangazi zangu ni single mothers waume zao wanaishi kwa wasiwasi miaka yote hawana amani na ndoa zao kabisa,
Sikushauri kumwacha, ila maisha yako yote yatakuwa na wasiwasi sana na hakutakuwepo na furaha ya watoto kama familia, muda utaongea kila la kheri!
Maisha hayana formulaKwasifa hizo Asingekuwa single mother
Kitu gani mkuuNiwapongeze wachangiaji wote pamoja na mleta mada
Kunakitu nimejifunza.
Mda ni hakimu mzuriHuyo anapoza machungu baada ya kuachwa, subiri uone akiona huna msaada kwa mwanae..!
KaribuKwa niaba ya single mazaz wa humu tunashukuru kwa kutambua umuhimu wetu.
LabdaKi ukweli kabisa ukitaka kufurahia ngono chukua singo maza
Na ukitaka kuishi kwa stress basi kaoe singo maza
Singo maza ni watamu kwa kujiburudisha tu na sio kwenda mbele zaidi ya hapo