Pole mzee wangu,
Ooh nimejikuta unanitoa tu machozi okey RIP mom,,
Single mother is a choice! Some women thy chose to be/live like a man!
Some of them, Yes, we can appreciate them...but other sorry! Kuna wadada wa matatizo sana, unazaa naye, una malengo naye..ila baada ya muda unaleta visa ambavyo havieleweki kichwa wala miguu.. nakuta anaachwa.. Then utasikia, lakini haya maisha nilijitakia mwenyewe....
Au unakubali kubeba mimba ya mwanaume bila ndoa, ukitegemea kuolewa!
Ahsante sana BronDO.
Sina hata nguvu za kuongea. Bahati mbayq kuna watu wenye single mothers ila hawajui thamani ya mama zao.
I wish I could get her back even for a single minute.
seriously???!!! what about widows?
there is a big difference btwin widow na single mother, widow amefiwa na mume while as single mum hajaolewa au kaachika which bado ni kutokana na selfishness
Pole mzee wangu,
Kuna rafiki yangu mmoja huwa natamani nimpe makonzi jinsi anavyomuendesha maam ake! zee zima kama mimi ila dah hasara!
Together we can make a change.
ID yako.....why?
Dada ake upo? Nimekukosa sana!