Pongezi kwa Waarabu/ Wahindi waislamu wanaoishi hapa Tanzania. Mnyonge mnyongeni, haki yake.....!

Bila shaka yapo mabaya na mazuri ya wahindi waislamu na waarabu waislamu, lakini hakika hakuna mabaya ya uislamu bali mazuri tupu.
Mimi naamini wapo pia Waislam wachache weusi tu ambao ni wema sana, wanaosaidia binadamu wengine kama ''BINADAMU'' sio kwakuwa ni ''WAISLAM WENZAO''

LAKINI wengi wanawasaidia Waislam wenzao a.k.a Ndugu zao katika Imaan, wa dini nyingine hasa Wakristo na Wayahudi ni Makafiri

Tazama shule zao nyingi zinasajili wanafunzi na Waalimu kwa kigezo cha kuwa ''MUISLAM''

KWA MFANO, nina jamaa yangu Mwl. wa masomo ya science ni MKRISTO, juzi aliapply kazi ya ualimu katika shule moja ya kiislam inayofanya vizuri kiasi mkoani KILIMANJARO, ambayo ilitangaza nafasi hiyo bila kuweka kigezo cha dini kwenye tangazo, jamaa akaapply na nahisi kwakuwa aliwahi sana akaitwa chap na kufanyiwa usaili kisha akapata nafasi hiyo, akaanza kazi, baada ya wiki moja akaja jamaa Mwingine Muislam (late kabisa) akaomba nafasi na hakufanyiwa hata interview akachukuliwa, jamaa yangu akaitwa ofisini wakazungumza nae wakamrudishia pesa zake za nauli alizotumia kufika shuleni na nyingine kidogo wakamwachisha kazi.
 
Wapongeze na kiwanda cha bia maji bure tena ya kunywa mwanza hio
 
Hebu kwanza hayo mabaya yao ambayo umesema yapo mengi tu
Wengine hatuyajui
Mkuu hao jamaa ukifanya nao biashara yeyote kuwa makini mno kwenye malipo hakikisha wanakulipa pesa yote au la unapigwa. Waarabu ni wadhulumati mno.

Ila wao wakipigwa wanakuondoa kwa majini.
 
Leo Kuna Jambo ambalo nimeona ni wazi napaswa kulizungumza kwa kuwa limenigusa sana.

Waarabu na wahindi ambao ni waislamu, Wana utaratibu ambao nimetokea kuupenda sana na ikitupendeza wakristo naomba tuuige.
Najua Kuna mabaya mengi yanayofanywa na Hawa watu wa race hii ila kwenye mazuri tuwape sifa zao.

Wana utaratibu wa kujitolea kutoa huduma ya maji bure kabisa. Kuna sehemu wapo karibu na shule, huwezi amini wanafunzi maji yao ya kunywa wanaenda kuchota kwa hao watu kwenye mabomba yao ambayo wameyaweka nje, tena kuna bango kubwa "MAJI BURE"
sio kwa wanafunzi tu, hata raia anaruhusiwa kuchota hapo maji bure.

Huu ni zaidi ya uungwana na kwa hili nawapongeza sana na iigwe na watu wengine(sijawahi kuona mswahili kafanya hivi).
Pengine ni maelekezo ya dini yao, hivyo kwa dini zingine jambo Kama hili tunapaswa kuliiga.
Sana hii huduma ya maji inasaidia wengi,na mpaka misikitini wameweka wao,bila kubagua dini ya mtu,au asiye na dini,yoyote anachota.Maji ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom