Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
- Thread starter
- #21
Kibongobongo lazima tuwapongeze, maana wapo wenye uwezo huo lakini hawafanyiHii ni moja katika thawabu ambazo zimeainishwa katika vitabu
Kutoa sadaka kama maji ni nzuri na ndio msingi huo
Unaweka kisima na bomba la maji kwa faida yako na wengine
Ni jambo la kawaida kufanya hivyo