Habari, naomba kutoa waraka huu mfupi iwe sehem ya kunena yalio mazur kuhusu NSSF Tawi la Kinondoni.
Ni kweli NSSF ni suala ambalo limekua pasua kichwa mno, hususan kwa watumishi waliopewa dhamana ya kuhudumu wa wanachama, mim nilikua sehem ya muhanga, sintotaja ni kampun gan nilihitim mkataba, ila tulisumbuana na mwajir takriban 6 months plus kulipa, lkn kilichokua kikifanyika ni mwajiri alikua akifanya mawasiliano ya karib Zaid na maafisa ukaguz wa NSSF.
Kitu ambacho tulikua tukipigwa danadana wafanyakazi tuliohitaji stahiki zetu, kila tulipofika NSSF (tawi la Kinondon Dar es Salaam) na kuomba kuonana Manager walikua wakal mno, unakuta unaambiwa Manager hayupo, mpaka tulipopaza sauti ndio tukaonana na Meneger aitwae FUNGO, alistaajabu kutofaham chochote kuhusu kesi yetu.
Ni ghafla Ndan ya 1week kila mmoja aliweza kilipwa madai yake, ni kiongozi ambaye anasuluhu papo Apo, yaani Kama huna mtu ni muhanga na mamba ya NSSF kwa tawi la Kinondon (ubungo plaza), wewe nyoosha kwa Meneger Fungo tu.
Watumishi ni wababaishaji tu, hawakwambii ukweli wanakwambia pesa iko bank, Mara pesa iko process, Mara andika barua, yaani sijui ata idara usika wanakua wapi. Kuna watumish wanajisahau wajib wao.
Ni kweli NSSF ni suala ambalo limekua pasua kichwa mno, hususan kwa watumishi waliopewa dhamana ya kuhudumu wa wanachama, mim nilikua sehem ya muhanga, sintotaja ni kampun gan nilihitim mkataba, ila tulisumbuana na mwajir takriban 6 months plus kulipa, lkn kilichokua kikifanyika ni mwajiri alikua akifanya mawasiliano ya karib Zaid na maafisa ukaguz wa NSSF.
Kitu ambacho tulikua tukipigwa danadana wafanyakazi tuliohitaji stahiki zetu, kila tulipofika NSSF (tawi la Kinondon Dar es Salaam) na kuomba kuonana Manager walikua wakal mno, unakuta unaambiwa Manager hayupo, mpaka tulipopaza sauti ndio tukaonana na Meneger aitwae FUNGO, alistaajabu kutofaham chochote kuhusu kesi yetu.
Ni ghafla Ndan ya 1week kila mmoja aliweza kilipwa madai yake, ni kiongozi ambaye anasuluhu papo Apo, yaani Kama huna mtu ni muhanga na mamba ya NSSF kwa tawi la Kinondon (ubungo plaza), wewe nyoosha kwa Meneger Fungo tu.
Watumishi ni wababaishaji tu, hawakwambii ukweli wanakwambia pesa iko bank, Mara pesa iko process, Mara andika barua, yaani sijui ata idara usika wanakua wapi. Kuna watumish wanajisahau wajib wao.