Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 704
- 514
yaapDaaaaa
Scania NA Marcopolo ... 😂 😂 !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaapDaaaaa
Scania NA Marcopolo ... 😂 😂 !!
hahahaUmaskini wako tu ndio unakupandisha mikweche! Southern Highlands kuna vyombo vizuri sana!
yatakimbia tuHayo ma basi ya kilimanjaro hayakimbii Tunduma ni mbali na abiria ni wafanya biashara,hivyo aachiwe NEW FORCE peke yake hiyo njia maana anapeleka bus 4 kila siku na ABOOD kazoea njia hiyo
Kweli walikuwa na mabasi yao marefu double diff yakuwa moto mwendo mdundo.Happy nation ilikuwa ikiongoza kwa mwendo wakifuatia Kilimanjaro, sasa vin'gamuzi ushindani haupo ni mwendo was Kobe.Happy nation zilikuwa zinaingia saa Tisa -kumi mbeya.Hiyo route ya hayo mabasi ilikuwepo huko sema kuna kipindi kampuni iliyumba wakasimama.
Ati Marcopolo itachakaa!!!
Lakin Zhoutong hazichakai.
Gari zinaenda Dar- Bukoba Dar lux full lux,polo na zinadunda tu
yaap
Ana mjengo upo kushoto pale kabla hujafika marangu mtoni ni nomaaa
Nadhani huenda umechanganya kidogo Mkuu
Sawaya ni jina la koo la kichaga eneo la juu kidogo ya Shule ya secondary Marangu na mmiliki wa mabasi hayo ya kilimanjaro ni kutokaa ukoo wa kina Towo kabla hujafika marangu mtoni
Ungempiga shemeji aje kukuchukua na gari lenu
Ndiwo ndiwoThen wangemlipa hicho kipande siyo?
Uwatafutie na mganga kabisa maana huko bila uchawi lazima ufunge biasharaWaje niwape chumba cha office 88 mbeya
Hapo ajimudu KIuCHAWI tu hakuna lingineTumuombee aimudu...ruti ya dar mbeya ndio ruti ngumu zaidi Tanzania