Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 704
- 514
Sio ngumu Wala magari mengi Sana na inalipaNjia ngumu sana hiyo na ina wenyewe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ngumu Wala magari mengi Sana na inalipaNjia ngumu sana hiyo na ina wenyewe...
Naam mzee sawaya Ni mkongwe wa mabasi now kashusha Marcopolo mpya Kama 30 kwa mpigoSI HABARI MPYA HII.
2000-2001 NDIYO ILIKUWA MARA YA MWISHO KWA HIZI BASI KUKANYAGA MBEYA ILIPOGEUZA TO DAR IKABAKI STORY.
Nafaham mshindani wake kipindo hicho alikuwa Scandinavia Express ila ukwasi uliwasumbua wakachemka.
Juzi juzi walianza route ya Moro-Arusha mara paaa wamechomoa, Ukwasi huo.
NB. KLM Biashara ya mabasi mnaifaham so muwe na subra kwenye njia mpya.
Hiyo njia ni ndefu gari ya luxury itachakaa haraka hiyo njia Ni nzuri kwa Scania n'a MarcopoloNilipokuwa Tz nilipata shida sn route ya Arusha-Mbeya hakuna gari nzuri luxury ya uhakika.Pia hili waliangalie.Magari yanayopita huko ni ya hovyo kabisa
Naam kanda hiyo ni uchawi tuTatizo la Mbeya na Njombe ni ULOZI bhaaaasi
Ungempiga shemeji aje kukuchukua na gari lenuWeeee thubutu
Kilimanjaro ilifia Kibaha pale halafu nilikua na mizigo na watoto
Nilikasirika siku ile kwangu limebaki kuwa gari la mizigo tu.
Hayo ma basi ya kilimanjaro hayakimbii Tunduma ni mbali na abiria ni wafanya biashara,hivyo aachiwe NEW FORCE peke yake hiyo njia maana anapeleka bus 4 kila siku na ABOOD kazoea njia hiyoSalam kwenu Wakuu.
Pongezi hizi ni kwa kampuni na uongozi wa Kilimanjaro Express kwa kuanzisha route mpya ya Nyanda za juu kusini(MBEYA).
Nimeona Bango wakitangaza ku launch safari zao za Mbeya
Nadhan wataleta ushindani kwa baadhi ya kampuni hivyo hudumu huenda zikaboreka.
Ushauri kwao, hawa jamaa wana gari nzuri ila shida wana Makondakta wao Madada jeuri sana, angalieni watu smart.
Note: sina uhusiano na hawa Jamaa ila napenda tu walivyo na Gari nzuri, sikuwahi kusikia klm imelaza watu njian.
Scania NA Marcopolo ... 😂 😂 !!Hiyo njia ni ndefu gari ya luxury itachakaa haraka hiyo njia Ni nzuri kwa Scania n'a Marcopolo
Ni shidaaaNaam kanda hiyo ni uchawi tu
Yutong za KLM ni body tu ila engine zake ni scania 94.Dar express ndo hana mchina hata moja, KLM wana YUTONG mingi tu.
Hiyo route ya hayo mabasi ilikuwepo huko sema kuna kipindi kampuni iliyumba wakasimama.
Hapana hivyo hivyo Kilimanjaro yalikuwa na rangi ya kijani na nyeusi kwenye 2004 hivi.
Nashauri hata Dar Express waanzishe pia route za huko wasing'ang'anie route za kaskazini tu. Wote waende pia hadi kanda ya ziwa
Nadhani huenda umechanganya kidogo Mkuu
Sawaya ni jina la koo la kichaga eneo la juu kidogo ya Shule ya secondary Marangu na mmiliki wa mabasi hayo ya kilimanjaro ni kutokaa ukoo wa kina Towo kabla hujafika marangu mtoni
SI HABARI MPYA HII.
2000-2001 NDIYO ILIKUWA MARA YA MWISHO KWA HIZI BASI KUKANYAGA MBEYA ILIPOGEUZA TO DAR IKABAKI STORY.
Nafaham mshindani wake kipindo hicho alikuwa Scandinavia Express ila ukwasi uliwasumbua wakachemka.
Juzi juzi walianza route ya Moro-Arusha mara paaa wamechomoa, Ukwasi huo.
NB. KLM Biashara ya mabasi mnaifaham so muwe na subra kwenye njia mpya.
Kashindwa Moro arusha ndo ataweza mbeya?
Akidumu miezi atakuwa mwanaume kule alikuwa na Jina zamani kipindi mabasi yake ni ya kuchonga
Hayo ma basi ya kilimanjaro hayakimbii Tunduma ni mbali na abiria ni wafanya biashara,hivyo aachiwe NEW FORCE peke yake hiyo njia maana anapeleka bus 4 kila siku na ABOOD kazoea njia hiyo
Dog na Germany shepherdDaaaaa
Scania NA Marcopolo ... !!
Umaskini wako tu ndio unakupandisha mikweche! Southern Highlands kuna vyombo vizuri sana!Tuna wakaribisha kwa moyo wote.... Maana tumechoka kupanda mikweche...