Uhusiana wako ndani ya basi ni wa kondakita kwani yeye ndiye anatakiwa akupe kinywaji, pipi au biskuti, kurekebisha sauti ya muziki au TV na hali ya hewa ndani ya basi kama imo a/c na endapo utahitaji msaada binafsi pamoja na kumjulisha dereva kituo utakachoteremkia.
Inaelekea umezoea Costa au daladala.
Kwa maana nyingine walikuwa wanauza tiketi zote zinaisha si ndio? Basi hapo lilikuwa linapendwa na abiria.Mabasi ya route ya Mbeya yalikua yamechakaa, yanavuja kukiwa na mvua na wanakua wa mwisho kuondoka stendi.. Wafanyakazi jeuri, wanakalisha abiria kwenye vigoda..
Na Songea wanarudi?Salam kwenu Wakuu.
Pongezi hizi ni kwa kampuni na uongozi wa Kilimanjaro Express kwa kuanzisha route mpya ya Nyanda za juu kusini(MBEYA).
Nimeona Bango wakitangaza ku launch safari zao za Mbeya
Nadhan wataleta ushindani kwa baadhi ya kampuni hivyo hudumu huenda zikaboreka.
Ushauri kwao, hawa jamaa wana gari nzuri ila shida wana Makondakta wao Madada jeuri sana, angalieni watu smart.
Note: sina uhusiano na hawa Jamaa ila napenda tu walivyo na Gari nzuri, sikuwahi kusikia klm imelaza watu njian.
Umetumia maneno "kama sio zote", which create a benefit of doubts....Ukiweka juhudi za makusudi ktk kusoma comment yangu utaielewa......
Ha ha haaa,Weeee thubutu
Kilimanjaro ilifia Kibaha pale halafu nilikua na mizigo na watoto
Nilikasirika siku ile kwangu limebaki kuwa gari la mizigo tu.
Hujasafiri na huelewi, safari ni zaidi ya kupata tiketSijaelewa mleta mada unaposema kinda wa gari ya safari ndefu jeuri kwa abiria kivipi? Sababu ukikata tiketi ya Basi la safari ndefu uhusiano wako na konda unakuwa haupo.Wewe no kukaa kwenye kiti chako basi .Huo ujeuri na konda untokea wapi
Kashindwa Moro arusha ndo ataweza mbeya?Salam kwenu Wakuu.
Pongezi hizi ni kwa kampuni na uongozi wa Kilimanjaro Express kwa kuanzisha route mpya ya Nyanda za juu kusini(MBEYA).
Nimeona Bango wakitangaza ku launch safari zao za Mbeya
Nadhan wataleta ushindani kwa baadhi ya kampuni hivyo hudumu huenda zikaboreka.
Ushauri kwao, hawa jamaa wana gari nzuri ila shida wana Makondakta wao Madada jeuri sana, angalieni watu smart.
Note: sina uhusiano na hawa Jamaa ila napenda tu walivyo na Gari nzuri, sikuwahi kusikia klm imelaza watu njian.
Zina injini na gearbox za ScaniaDar express ndo hana mchina hata moja, KLM wana YUTONG mingi tu.
Kitu MarcopoloSalam kwenu Wakuu.
Pongezi hizi ni kwa kampuni na uongozi wa Kilimanjaro Express kwa kuanzisha route mpya ya Nyanda za juu kusini(MBEYA).
Nimeona Bango wakitangaza ku launch safari zao za Mbeya
Nadhan wataleta ushindani kwa baadhi ya kampuni hivyo hudumu huenda zikaboreka.
Ushauri kwao, hawa jamaa wana gari nzuri ila shida wana Makondakta wao Madada jeuri sana, angalieni watu smart.
Note: sina uhusiano na hawa Jamaa ila napenda tu walivyo na Gari nzuri, sikuwahi kusikia klm imelaza watu njian.
Mabasi mengi Sana yanamilikiwa na watu wa mkoa wa kilimanjaroWakati huo yalijulikana kwa jina la Sawaya