feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,784
- 12,592
Mbeya kuna mikweche asee labda umepanda gari za bei rahisiTuna wakaribisha kwa moyo wote.... Maana tumechoka kupanda mikweche...
Mbeya kuna mikweche asee labda umepanda gari za bei rahisiTuna wakaribisha kwa moyo wote.... Maana tumechoka kupanda mikweche...
Mbeya kuna mikweche? asee labda umepanda gari za bei rahisiTuna wakaribisha kwa moyo wote.... Maana tumechoka kupanda mikweche...
Hizo Yutong za klm zinakwenda njia ipi??Dar express ndo hana mchina hata moja, KLM wana YUTONG mingi tu.
Ukiweka juhudi za makusudi ktk kusoma comment yangu utaielewa......Dar express ndo hana mchina hata moja, KLM wana YUTONG mingi tu.
Ni kweli kipindi hiko nauli wanakamua 9000 Dar to Mby na chips kuku tunakula kwa buku jero pale ilula.
Uhusiana wako ndani ya basi ni wa kondakita kwani yeye ndiye anatakiwa akupe kinywaji, pipi au biskuti, kurekebisha sauti ya muziki au TV na hali ya hewa ndani ya basi kama imo a/c na endapo utahitaji msaada binafsi pamoja na kumjulisha dereva kituo utakachoteremkia.Sijaelewa mleta mada unaposema kinda wa gari ya safari ndefu jeuri kwa abiria kivipi? Sababu ukikata tiketi ya Basi la safari ndefu uhusiano wako na konda unakuwa haupo.Wewe no kukaa kwenye kiti chako basi .Huo ujeuri na konda untokea wapi
Sawaya ni mmiliki..ila mabasi yao yaliwahi kuhudumu njia hiyo ya Mbeya,Tukuyu na Songea, kipindi kile yalikuwa na rangi ya kijani
Ila ni kampuni pekee iliyobaki na gari nyingi kama sio zote za aina ya Scania
Napanda ndege pole mpanda mabasi unayetaka kila mhudumu wa kike kwenye Basi awe anakukenulia meno njia nzima kwa hicho kihela chako kidogo Cha nauli unataka upewe huduma ya kwenye ndege na kondakta!!!!!Uhusiana wako ndani ya basi ni wa kondakita kwani yeye ndiye anatakiwa akupe kinywaji, pipi au biskuti, kurekebisha sauti ya muziki au TV na hali ya hewa ndani ya basi kama imo a/c na endapo utahitaji msaada binafsi pamoja na kumjulisha dereva kituo utakachoteremkia.
Inaelekea umezoea Costa au daladala.
Ficha ujinga wako.Napanda ndege pole mpanda mabasi unayetaka kila mhudumu wa kike kwenye Basi awe anakukenulia meno njia nzima kwa hicho kihela chako kidogo Cha nauli unataka upewe huduma ya kwenye ndege na kondakta!!!!!
Salam kwenu Wakuu.
Pongezi hizi ni kwa kampuni na uongozi wa Kilimanjaro Express kwa kuanzisha route mpya ya Nyanda za juu kusini(MBEYA).
Nimeona Bango wakitangaza ku launch safari zao za Mbeya
Nadhan wataleta ushindani kwa baadhi ya kampuni hivyo hudumu huenda zikaboreka.
Ushauri kwao, hawa jamaa wana gari nzuri ila shida wana Makondakta wao Madada jeuri sana, angalieni watu smart.
Note: sina uhusiano na hawa Jamaa ila napenda tu walivyo na Gari nzuri, sikuwahi kusikia klm imelaza watu njian.
Jamaa wana Scania no. A na zimesimama fresh kabisa.Sawaya ni mmiliki..ila mabasi yao yaliwahi kuhudumu njia hiyo ya Mbeya,Tukuyu na Songea, kipindi kile yalikuwa na rangi ya kijani
Ila ni kampuni pekee iliyobaki na gari nyingi kama sio zote za aina ya Scania
Umeshawahi kwenda pale Shekilango kwny ofisi zao ukakuta Mabus ya K'njaro yamekosa wateja?Manake wamekimbia league ngumu ya kaskazini kwa gari zao za zamani manake hii ni exit route wamejichagulia.
Njia hii manake hawachagui gari kama watu wa chuga
Wakati huo yalijulikana kwa jina la Sawaya
Sijachanganya mkuu,mwanzo yaliitwa hivyo, baada ya kuua sana ndio wakabadili jina na kuita Kilimanjaro expressNadhani huenda umechanganya kidogo Mkuu
Sawaya ni jina la koo la kichaga eneo la juu kidogo ya Shule ya secondary Marangu na mmiliki wa mabasi hayo ya kilimanjaro ni kutokaa ukoo wa kina Towo kabla hujafika marangu mtoni
Sijachanganya mkuu,mwanzo yaliitwa hivyo, baada ya kuua sana ndio wakabadili jina na kuita Kilimanjaro express
Na pia anataka apewe namba kabisaaNapanda ndege pole mpanda mabasi unayetaka kila mhudumu wa kike kwenye Basi awe anakukenulia meno njia nzima kwa hicho kihela chako kidogo Cha nauli unataka upewe huduma ya kwenye ndege na kondakta!!!!!
Mabasi ya route ya Mbeya yalikua yamechakaa, yanavuja kukiwa na mvua na wanakua wa mwisho kuondoka stendi.. Wafanyakazi jeuri, wanakalisha abiria kwenye vigoda..Hiyo route ya hayo mabasi ilikuwepo huko sema kuna kipindi kampuni iliyumba wakasimama.