Tetesi: Pongezi kwa JamiiForums yashika nafasi ya 5 Tanzania

Jun 18, 2019
22
34
Source Alexa
Jamii forums yashika nafasi ya 5 Tanzania kwa mitandao inayo tembelewa sana hapa bongo,jamiiforums ime mpiku millardayo,bongo5,udakuspecially ambayo iliyonekana kuja kwa kasi kipindi cha nyuma
Pongezi kwa Maxence Melo, pamoja na wadau wote wa mtandao huu
Screenshot_20190702-215013.jpg
 
Hivi yahoo bado iko popular bado?
Nahisi data zao ni wale watu wanaotype hizo address kwenye address bar ya browser.

Wanaotumia app hawahesabiwi Kama wameingia FB.

Kwa mazingira ya kawaida no way YouTube na Yahoo ziwe na watumiaji kushinda FB kwa Tanzania.
 
Nahisi data zao ni wale watu wanaotype hizo address kwenye address bar ya browser.

Wanaotumia app hawahesabiwi Kama wameingia FB.

Kwa mazingira ya kawaida no way YouTube na Yahoo ziwe na watumiaji kushinda FB kwa Tanzania.
Unajua ukifatilia kwa kila kampuni hapa bongo ambalo bado halina domain name yake mfano .co.tz na emails zake basi utagundua kwa kila makampuni matano basi manne hadi matatu bado yanatumia "yahoo.com" pia wengi wasio na ufahamu wa hizi search engines utakuta wanatumia bado msn au yahoo coz huwa zinakuja by default kwenye devices mbalimbali (mfano Internet explorer inatumia MSN by default na wengi hawajali kuibadilisha as long as inaleta search results) so mwisho wa siku utakuta yahoo bado inatumika tu, hata worldwide yahoo bado iko kwenye top 10 ya most viewed webs ( 7th according to Alexa)

Ila ni kweli kwamba hizo data hapo wanaangalia tu ile traffic inayokuja kupitia webbrowser na sio App coz Alexa wao wanadeal na website traffics tu
 
Source Alexa
Jamii forums yashika nafasi ya 5 Tanzania kwa mitandao inayo tembelewa sana hapa bongo,jamiiforums ime mpiku millardayo,bongo5,udakuspecially ambayo iliyonekana kuja kwa kasi kipindi cha nyuma
Pongezi kwa Maxence Melo, pamoja na wadau wote wa mtandao huu
View attachment 1145148
Nilitegemea Pornhub iwe namba moja.

Watanzania mnafeli wapi?
 
Unajua ukifatilia kwa kila kampuni hapa bongo ambalo bado halina domain name yake mfano .co.tz na emails zake basi utagundua kwa kila makampuni matano basi manne hadi matatu bado yanatumia "yahoo.com" pia wengi wasio na ufahamu wa hizi search engines utakuta wanatumia bado msn au yahoo coz huwa zinakuja by default kwenye devices mbalimbali (mfano Internet explorer inatumia MSN by default na wengi hawajali kuibadilisha as long as inaleta search results) so mwisho wa siku utakuta yahoo bado inatumika tu, hata worldwide yahoo bado iko kwenye top 10 ya most viewed webs ( 7th according to Alexa)

Ila ni kweli kwamba hizo data hapo wanaangalia tu ile traffic inayokuja kupitia webbrowser na sio App coz Alexa wao wanadeal na website traffics tu
Ni kweli unavyosema mkuu, ila we are talking about Facebook hapa, mpaka vijijini huko watu wanaijua, visimu vya ajabu ajabu na operamini.

Kwa data za December 2017 Facebook Ina watu milioni 6 Hapa Tanzania. No way Yahoo iipite FB.
 
east africa
Ni kweli unavyosema mkuu, ila we are talking about Facebook hapa, mpaka vijijini huko watu wanaijua, visimu vya ajabu ajabu na operamini.

Kwa data za December 2017 Facebook Ina watu milioni 6 Hapa Tanzania. No way Yahoo iipite FB.
kenya , uganda hawana porn kwenye top 10 zao isipokuwa Tz....
 
Kwamba Yahoo imeizidi facebook?!
Kwamba WhatsApp na insta hazipo tano bora?!

Nitarudi
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom