- Thread starter
- #21
Kwa jiji la Dar es Salaam, kuendelea kuwekeza kwenye visima ni fedheha. Ni lini watu hawa watakuwa na maji ndani, na kuondoka na huu mfumo wa pre-industrial revolution?
Basi hamkosi cha kusema; kina mama wengi wa Chadema wameanza kunufaika na kisima!
Chama
Gongo la mboto DSM