Muk
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 547
- 70
nawapa pongezi za Zati kabisa kwa askari walio kuwa wakiongoza magari kwenye hilo daraja maana pamoja na maji kujaa kwenye hilo daraja ambalo lipo mbele kidogo ukivuka mizani ya kibaha milemoja ukiwa unaingia dar jamaa walitoa msaada mkunwa sana. Pongezi kwao.
jamaa walivua viatu na kuingia kwenye maj.i na kuanza kuyaongoza magari yapite vipi. kweli hawa jamaa wamejitaidi na wametoa msaada mkubwa.
jamaa walivua viatu na kuingia kwenye maj.i na kuanza kuyaongoza magari yapite vipi. kweli hawa jamaa wamejitaidi na wametoa msaada mkubwa.