Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,859
Kwema Mkuu?
Kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma, Rais ni mamlaka ya nidhamu ya Katibu Mkuu Kiongozi.
Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma, Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Mkuu wa Utumishi wa Umma.
Kwa mujibu wa sheria hiyo pamoja na Kanuni za Utumishi wa Umma, Katibu Mkuu Kiongozi ni mamlaka ya nidhamu kwa makatibu wakuu wa wizara, manaibu katibu wakuu, wakuu wa idara zinazojitegemea, katibu wa bunge, makatibu tawala wa mikoa, mkurugenzi wa uhamiaji, mabalozi, n.k.
Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma, Katibu Mkuu Kiongozi anaweza kumchukulia hatua za kinidhamu mtumishi yeyote niliyemtaja hapo juu kwa kadri atakavyoona inafaa. Mtumishi au mamlaka yoyote isiyoridhika na uamumzi wa Katibu Mkuu Kiongozi inaweza kukata rufaa kwa Rais.
Naona kama Rais kamteua Dkt Bashiru kuwa Balozi ili kuepusha insubordination. Labda bila kuwa balozi, Bashiru asingeweza kumchukulia hatua balozi yoyote kwa kadri anavyoona inafaa. Other than this sioni sababu nyingine ya msingi. Historia inaonyesha kuwa waliowahi kushikilia nafasi hiyo walikuwa mabalozi pia possibly for the very same reason.
Swali linakuja: kati ya Katibu Mkuu Kiongozi (ambaye pia ni Cabinet Secretary) na Balozi who is the most powerful? Mie nilidhani Katibu Mkuu Kiongozi ndiye kinara wao lakini kwa appointment ya leo inaonyesha wazi kuwa hana lolote kwa balozi unless nae awe balozi. Hii inachanganya ukiangalia jinsi appointments za mabalozi zinavyofanyika siku hizi.
Civil servants ambayo msemaji wa kwanza anakataa kuwa siyo; yeye kwake civil servants ni wafanyakazi wa serikali...Get ypur facts right guys...Pamoja na hayo yote concept ya institution siyo kwamba moja jumlisha moja ni mbili...Wakati mwingine kuweka utendaji vizuri unarekebisha tu sheria ambapo kwa sasa sheria yetu haitutofautishi sisi sote ni watumishi wa umma na unaweza pelekwa kokote kama sifa zina ruhusu..unamaanisha mahakimu na majaji ni civil servants au watumishi wa serikali?
Kushinda uwezo wako unavyofahamu how unitary government system works.Unaelewa ulichoandika?
..swali langu ni dogo sana.Civil servants ambayo msemaji wa kwanza anakataa kuwa siyo yeye kwake civil servants ni wafanyakazi wa serikali...Get ypur facts right guys...Pamoja na hayo yote concept ya institution siyo kwamba moja jumlisha moja ni mbili...Wakati mwingine kuweka utendaji vizuri unarekebisha tu sheria ambapo kwa sasa sheria yetu haitutofautishi sisi sote ni watumishi wa umma na unaweza pelekwa kokote kama sifa zina ruhusu
Wajanja washanielewaHajui kuvaa kivipi? Huwa anavaa mashati nje ndani?
Mfumo ulivurugwa pale chama na serikali vilipotengenishwa na kuleta vyama vingi chuo cha kivukoni na Mzumbe vilikuwa vinafanya kazi yake vizuri....Siyo mbaya we learn through mistakes...Leadership imekuwa shida sana kwa watu wetu kwakua wengi hawana necessary skills only because hakuna system rasmi ya kuandaa viongozi...Nadhani hili ni muhimu kuangaliwa upya.Dr Bashiru is not qualified for that post, at least on how succession planning goes in unitary government system na uwezi kupewa hiyo nafasi if you are not a qualified top spy nor having held other senior civil services post.
At the same time naona logic ya Magufuli kumteua Dr Bashiru, civil services ya Tanzania ni ovyo sana in administering party manifesto. Kwa fikra za raisi kwa kumteua Dr Bashiru he will push more other senior civil servant.
But then that role is bigger than that maana kuna aspects za international relations and national security issues.
The bottom line TISS inapwaya kwenye kuandaa viongozi, safu ya juu nchi kama UK tulipo-copy mfumo wa serikali yetu makatibu wakuu wote + senior civil servant ni watu ambao wanaelewa strategic operation zao kuanzia juu mpaka chini na control measures.
Na kwenye kupanda kwao ukifikia level za kuitwa senior civil servant unakuwa afisa usalama maana unajukumu la kutunza siri za nchi.
Sisi tunaokoteza tu watu at senior post, most lack the skills to implement a strategy fit for the party manifesto, can’t execute a mission efficiently nor pay attention to the manifesto. Nadhani Magufuli kaona mapungufu hayo and he thinks Bashiru might get things moving fast.
Jamani unataka nikujibu unachotaka kusikia? Have said a third time now ni civil servant and that doesnt mean watumishi wa serikali ni watumishi wa umma..swali langu ni dogo sana.
..Je, mahakimu na majaji ni civil servants kwa maana watumishi wa serikali?
..Je, Katibu Mkuu Kiongozi anaweza kumuadhibu Hakimu au Jaji?Jamani unataka nikujibu unachotaka kusikia? Have said a third time now ni civil servant and that doesnt mean watumishi wa serikali ni watumishi wa umma
Labda hii makala iliyoandikwa na Ndg Abbas Mwalimi mwaka 2019 itasaida kuelewa zaidi juu ya uteuzi na aina za mabalozi.EMT,
..kuna mabalozi ambao huteuliwa toka nje ya serikali, kama Balozi Masilingi, Balozi Paul Bomani, Balozi Omar Mapuri, ... je hao nao mamlaka yao ya nidhamu ni Chief Secretary, au wanaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na Chief Secretary?
Kiranga kaandika hapo juu....Na hapo juu kidogo soma notes za institution nilizoweka...Flow of power and information ipo structured but that does not alter the rules and regulations in place ambazo pia zina flow kwakufuata structure...hapo sasa ni kama unaniuliza Judge mkuu anayemwapisha raisi anaweza kumwajibisha?..Je, Katibu Mkuu Kiongozi anaweza kumuadhibu Hakimu au Jaji?
Kabisa mkuu siku mangi akiikamata nchi cha kwanza ikulu ataihamishia kilimanjaroKila mtu hula madhabauni kwake, ukifika zamu yangu mnistue.
Pitia hapo 105 (1)... hapajavunjwa..!?Binafsi mm nipende kumpongeza Mhe Doctor JPM kwa alichokifanya kwa uteuzi wake aliofanya siku ya leo tarehe 26th February 2021View attachment 1712715
Nipo Mkuu,Mkuu umepotea kichizi. Mpaka tukafikiri ushaukwaa uteuzi na wewe.
Kama Katibu Mkuu Kiongozi ndiye head of civil service, regardless ya ubalozi, then it doesn't matter kama Katibu Mkuu Kiongozi ni balozi au si balozi.
Yeye kama head of civil service, yuko juu ya mabalozi, by virtue of being head of civil servive.
Mbona Katibu Mkuu kiongozi si Jaji, lakini ni mkubwa wa majaji kwa sababu yeye ni head of civil service.
Je, Bashiru apewe ujaji pia? Atapewa vyeo vingapi?
Hapa kuna mawili.
Ama kuna mkakati maalum wa kumpa diplomatic immunity, ama ni mbwembwe tu za kuzawadiana vyeo.
Suala la insurbodination silioni, kwa sababu, sawa, tulikuwa na mabalozi Sefue, Lumbanga na Rupia.
Lakini pia tumekuwa na kina Timothy Apiyo, Philip Luhanjo walikuwa Makatibu Wakuu Viongozi bila kuwa mabalozi.
Kwa hiyo anakuwa Katibu Mkuu wa Chama na Katibu Mkuu Kiongozi kwa wakati mmoja au anaacha kuwa katibu mkuu wa CCM?
Vipi kuhusu muongozo wa utumishi serikalini unaotenganisha mambo ya chama na utumishi wa umma serikalini?
Hata kama atajiuzulu Ukatibu Mkuu CCM, huu uteuzi unaonesha kwamba utumishi serikalini unaenda kupelekwa kichama chama zaidi.
That's good.View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)