Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,177
Maandiko ya Paskali inahitaji utulivu kuyasoma pia usisome kijisehemu kidogo ukadhani utaelewa.Niliposoma hii sentensi nilitamani nikutukane tusi kubwa sana ila nafsi ikanishauri niache.
Maandiko ya Paskali inahitaji utulivu kuyasoma pia usisome kijisehemu kidogo ukadhani utaelewa.Niliposoma hii sentensi nilitamani nikutukane tusi kubwa sana ila nafsi ikanishauri niache.
Umeona mkuuTatizo watu hamsomi mkaelewa ,pasco kasema kitu hadimu sana
Rudia kusoma nilichoandika kwa kifupi paskal amezunguka mimi nimekatishaMsome tena utamuelewa
Rudia kusoma nilichoandika sijazunguka kama paskal nimepita njia fupiMsome pasko vzr kaka, usijibu tu bila kusoma