Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Bado unae tu!
Jamaa hana kabisa uwezo wa kuandika kwa ufasaha kwa kutumia lugha moja tu.
Bado unae tu!
Hao siku hizi wako wengi humu. Kuelewa ni tatizo, na ukifanywa utafiti upya humu itaonekana lile jina LA JF home of GT ni uongo Wa hali ya juu!Najua hujamuelewa pasko na kwa haraka zako hutamuelewa kabisa
Kaka hapo kuna fumbo hapo kama umefuatilia vizuri mtiririko wa post yake!Niliposoma hii sentensi nilitamani nikutukane tusi kubwa sana ila nafsi ikanishauri niache.
Nakuunga mkono hapo kaka, watu wanaelewa tofauti kabisa!Tatizo watu hamsomi mkaelewa ,pasco kasema kitu hadimu sana
Ugh, your heart must be rusted and rusted!!Most friendly..:..very hospitable
Msomi wa sheria umetisha na Kiingereza chako aisee.
Ugh, your heart must be rusted and rusted!!
Kumuelewa pascali inakubidi kua na RAM 5 terabytes kichwani.Pascal anajiuliza atoke vip maana bwana misosi aliimba ntoke vip na ikamtoa.
Kazana mkuu huwezi jua may utapunguza frastrution za jamaa.
You earn money for that, right? So you have it speaking all the time....hahaha!Your ass must be itching.
Need a scratch?
Pascali ni mnafiki underground.pascal nikikuambia una njaa unakuja juu unadai tuheshimiane..!!
Acha ujinga mkuu, ukitaka kuwapongeza nenda Central huko usituchafulie Jukwaa bure hapa.
Mtu anatoa taarifa juu ya Nyufa ambapo humo wanaishi wanafunzi wenye roho kama wewe halafu anatiwa nguvuni, eti unasema tuwasifie na kuwapongeza hao polisi?
Naishia hapa....
Soma katikati ya Mistari utaelewa kilichoandikwaUmeona Barua ya ruksa au ndiyo mambo yetu ya uandishi???????????????
Msome tena utamuelewaUnazungumzia hawa polisi waliotuvamia mimi na kaka yangu SAA sita usiku pale ukonga Mombasa na kutupiga kutupora vitu vyetu au unazungumzia police hawa walionikamata nikiendesha gari na leseni ninayo wakikataa kuwa umri wangu sio wa kumiliki leseni???Wewe paskal bado hayakukuta mkuu police ni waonevu sana binafsi nikimkuta police amegongwa na gari namwagia petrol nampiga moto