Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,144
- 6,946
Hongera kwa Serikali, hongera kwa Rais wetu. Hongera Tanesco na kila anayehusika. Ndani ya muda mfupi baada ya kuungua kwa kituo cha kupozea umeme cha Msamvu maeneo mengi yamerudi katika hali ya kawaida ya Umeme.
Hongera sana, wote wanaohusika.
Hongera sana, wote wanaohusika.