MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
Wewe kuandika tu kwa kiswahili fasaha ni majanga, utaweza kuchanganua maoni yanayohitaji akili na fikra kubwa?Hujaeleweka, umeandika Kama bata anaehakisha!! Eti china imejenge reli kutoka Pakistan hahahahaaaaah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajifunze kwanza kuandika kiswahili fasaha kabla ya kuanza kuhangaika na masuala ambayo yako juu ya uwezo wako kiakili na kifikra!
Samahanai kama nitakukwaza!